• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuranga yaendelea na mapambano dhidi ya uvico - 19 na chanjo ya polio

Posted on: November 24th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga imevuka lengo katika kutekeleza zoezi la chanjo ya POLIO kwa watoto wenye umri chini ya miaka 5 baada ya kufanyika kw a zoezi hilo katika kipindi cha awamu tatu.

Hayo yamesemwa leo tarehe 24/11/2022 na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mkuranga Bi. Veronica Kinyemi katika kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi Kilichofanyika kwenye ukumbi wa Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga.

“Katika utoaji wa chanjo awamu ya tatu tulitegemea kuwafikia watoto wote chini ya miaka kitano 47044 waliopatiwa chanjo katika awamu ya pili lakini wakati wa utekelezaji wa utoaji wa chanjo tukawafikia watoto 54249 sawa na 115% zaidi ya lengo kusudiwa” Katibu Tawala alisema.

Kikao hiko kimefanyika kwa lengo la kuhamasisha wajumbe na wadau mbali mbali ili waweze kwenda katika jamii  na kuhamasisha  na kufanya   utekelezaji wa zoezi la chanjo ya UVICO - 19 ambalo limeanza tarehe 24 na kuisha tarehe 30 Mwezi Novemba sambamba na zoezi la chanjo ya POLIO ambalo linatarajiwa kuanza tarehe 1 hadi tarehe 4 Mwezi Desemba Mwaka huu.

Aidha Bi. Veronica ametaka zoezi la chanjo ya uvico - 19 kwa sasa likatekelezwe kwa uhakika na ikibidi zoezi hilo lifanyike Nyumba kwa Nyumba ili kuhakikisha kila mwana Mkuranga awe amefikiwa na huduma hiyo.

Nae Afisa afya wa Wilaya Angelus Mtewa kwa niaba ya Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga akijibu baadhi ya maswali ya wajumbe amesema kuwa kuna changamoto nyingi katika zoezi hili hasa kwa baadhi ya wananchi kuipotosha jamii.

“hii chanjo ni salama kwa Mwanadamu kama huduma nyingine za chanjo zinazotolewa katika hospitali na Vituo vya kutolea huduma hizo , hivyo ni wajibu wetu kuhakikisha tunaenda kutoa elimu kwa usahihi ili jamii ielewe umuhimu wa chanjo hizi.” alisema. 

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga akiwakilishwa na Afisa Mazingira na Usafi  Bi. Arafa Halifa amewataka Viongozi wa dini zote ndani ya wilaya ya Mkuranga kuendelea kuhamasisha zoezi hilo la chanjo katika maeneo yao ya ibada.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.