• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKURANGA YAPATA HATI SAFI

Posted on: June 20th, 2024

MKUU wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amezitaka Halmashauri zote za Mkoa huo kuwa hazitakiwi tena kushangilia wa kupigiana makofi kwa kupata hati safi kutoka kwa Mkaguzi wa Hesabu za Serikali na badala yake wajikite kwenye matumizi yenye tija.

Kunenge ameyasema hayo leo tarehe 20 juni 2024 alipokuwa katika kikao cha Baraza maalumu la Madiwani wa Halmashauri ya Mkuranga kujadili hoja za Mkaguzi wa hesabu za Serikali lililofanyika kwenye ukumbi wa Flex Garden kiguza.

Akizungumza katika Baraza hilo Kunenge amesema Halmashauri za Mkoa huo zimekuwa zikipata hati safi kila mara jambo ambalo kwa sasa limekuwa la kawaida na wanatakiwa kubadilika kwa kujikita kwenye matumizi yenye tija kwa kuangalia vipaumbele vya wananchi.

Amesema wananchi wanataka kuona hali halisi kwenye maisha yao ya kila sikuna sio kwenye makaratasi kwa kuandika katika utaratibu wa asilimia.

Aidha amesema kuanzia Mwaka wa fedha ujao kila Mkuu wa idara na Kitengo atawajibika na hoja zake mwenyewe na kwa utaratibu huo utasaidia kutokuwa na hoja katika vipindi vijavyo.

Kadhalika Mkuu huyo wa Mkoa ameelekeza Halmashauri hiyo kuibua vyanzo vipya vya mapato na kuongeza umahiri wa kukusanya sambamba na kuwa makini kwenye matumizi kwa kutumia maeneo yenye tija.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir alitoa Rai kwa watumishi kuwa waadilifu na kila Mkuu wa idara na Kitengo anatakiwa kukaa na wataalamu wake na kujadili mikakati ya kuinua mapato ya Halmashauri sambamba na  kumuagiza Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri hiyo kukaa na timu yake kuhakikisha fedha zinazotengwa zinaenda kujibu hoja za wananchi ambao ndio walengwa.

Awali akiwasilisha taarifa fupi Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Waziri Kombo alisema hoja zote zilikuwa 49 na hadi sasa zimefungwa hoja 31 na hoja 18 zilizobaki zinaendelea kufanyiwa kazi

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.