• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuranga yazindua Kampeni "Nyuki ni Fursa Tuitumie Mkuranga"

Posted on: December 4th, 2019

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amewataka wananchi wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani kuchangamkia fursa ya Nyuki ili waweze kujikwamua kiuchumi sambamba na kuboresha afya zao.

Akizindua kampeni hiyo juzi kwenye ukumbi wa Flex Garden Kiguza, Ulega ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga aliwahakikishia Wanavikundi na kitengo cha Njuki kutatua changamoto zinazokwamishamkakati huo endelevu hatimaye mauzp ya nyuki yalete tija kwao na kuongeza mapato ya Halmashauri ya wilaya.

Ulega aliyewakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga alikabidhiwa tuzo ya shukrani huku mkuu huyo akimwagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Mhandisi Mshamu Munde kuhakikisha hotuba ya uzinduzi huo wanasambaziwa Madiwani, Watendaji na wataalam ili elimu iwafikie wananchi Vijijini .

Akitoa salamu za Mkoa, Afisa Maliasili Mkoa Pierre Ntiya Magwa alisema mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo ameipongeza Halmashauri ya Mkuranga ambayo ni pekee kwa Mkoa kuzindua kampeni ya fursa za nyuki, sambamba na wiki iliyopita kuzindua “Mkuranga tokomeza utapiamlo lishe bora kwa watoto chini ya miaka mitano” hivyo Ndikilo aliziagiza Halmashauri nyingine kuiga ubunifu huo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri Mhandisi Mshamu Munde aliwapongeza wadau mbalimbali waliowaunga mkono katika Kampeni hizo huku akimhakikishia Mbunge Ulega kumpa ushirikiano katika kufanikisha kampeni hiyo ambavyo inalenga kuongeza thamani mazao ya Nyuki sambamba na kutafuta masoko ya uhakika.

Mmoja wa wanufaika wa tuzo za shukrani Victor Ngalla, Meneja mauzo na masoko katika Kampuni ya Bakhressa aliwahakikishia washiriki kutumia uzoefu wake kupata masoko ndani na nje ya Nchi.



Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.