• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Tasks MIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi Mkuranga akabidhi Madarasa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga

Posted on: December 20th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga Mwantu Mgonja leo amekabidhi jumla ya Vyumba vya Madarasa 132 kwa Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali ikiwa ni ishara ya kupokea wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza mwezi Januari 2023.

Mwantum amekabidhi Madarasa hayo katika hafla iliyofanyika katika Shule ya Sekondari Kazole Kata ya Vikindu Tarafa ya Mkuranga ambapo Mkuu wea Wilaya alikabidhiwa Madarasa sit ikiwa ni miongoni mwa Madarasa 132 yaliyojengwa.

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga imefanikiw kujrenga Vyunba vya Madarasa 132 baada ya kupata fedha kiasi cha shilingi Bilioni 2.64 kutoka Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Aidha baada ya kupokea Madarasa hayo Mkuu wa Wilaya Ya Mkuranga amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri na wataalamu wake kwa kusimamai vema Ujenzi huo na kusema kuwa ameridhishwa na spidi pamoja na viwango katika kutekeleza kazi hiyo.

Sambamba na hili Bi. Khadija ameagiza kwa wakuu wote wa shule kushirikiana na tfs ili kupata Miche ya miti na kuwapa wanafunzi wa kidato cha kwanza waeze kupanda ili kuasisi kauli ya Mh. Rais ya utunzaji wa Mazingira sambamba na kuilinda miundo mbinu ya Majengo hayo.

Pamoja na Mkuu huyo wa Wilaya ameagiza wazazi wote ambao watoto wao wamebahatika

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASIZA KAZI WATENDAJIWA VIJIJI October 09, 2023
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA July 03, 2021
  • TANGAZO NAFASI YA ART NURSE July 22, 2021
  • MATOKEO YA DARASA LA NNE KWA SHULE ZA MKURANGA January 18, 2021
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • KUNENGE AWEKA MAZINGIRA MAZURI KWA WAKULIMA WA KOROSHO MKOA WA PWANI 2023 - 2024

    October 05, 2023
  • DC MKURANGA AKUTANA NA MADEREVA WA BODABODA NA BAJAJI

    September 14, 2023
  • MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA MADIWAJI WA KUJADILI HOJA ZA CAG

    June 21, 2023
  • DED Waziri kombo akabidhiwa ofisi Mkuranga

    June 15, 2023
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.