• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA MADIWAJI WA KUJADILI HOJA ZA CAG

Posted on: June 21st, 2023

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga limeketi na kufanya Mkutano Maalum wa kujadili  hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG)  kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 unaoishia Juni 2022.

Katika taarifa hiyo, kwa Mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 juni 2022 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali CAG zinaonesha alikagua hesabu za Serikali za Halmashauri na kutoa hati inayoridhisha (hati Safi) ya ukaguzi, hali hii imepelekea mwenendo wa Halmasauri kupata hati safi za ukaguzi kwa miaka (7) Mfululizo kuanzia mwaka 2015/2016 hadi 2021/2022.

Akizungumza katika  Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Flex Garden Kiguza Mkuranga, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge  ameiagiza menejimenti kumaliza hoja zote ambazo ziko ndani ya uwezo wa Halmashauri  isipokuwa hoja ambazo zinategemea maamuzi ya Serikali na hoja hizo ziwasilishwe ofisini kwake kwa ajili ya kuzipatia ufumbuzi.

Nae Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Rashid Kassim Mchatta amewataka watumishi kutoa taarifa kwa viongozi wa juu mara zinapoitajika na baadae kutoa taarifa hizo kwa kiongozi wake wa karibu ili kufanikisha uharaka uliopo na kuwezesha viongozi wetu kufanya kazi kwa ufanisi na uharaka.

Awali Mkuu wa wilaya ya Mkuranga, Khadija Nassir Ally amemtaka Mwenyekiti wa Halmashauri kwenda kusimamia namna ya uhamishaji wa watumishi haswa kwa watendaji wa vijiji, kwani husababisha madeni mengi ambayo yanakwenda kutengeneza hoja za CAG.

        “………. Lakini ukikaa na Afisa Utumishi ukimuuliza hivi kulikuwa na sababu gani mtendaji huyo kuzunguka vituo vitatu katika miezi sita (6) sababu zitazokuwa ni kwa sababu, inawezekana sisi viongozi wa kisiasa ndiyo tumeomba na tumeshindwa kufanya nae kazi kwa maslahi yetu, hiyo ndiyo sababu kubwa huwa ninayoipata ninapouliza….” Alisema Mkuu wa wilaya.

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga ilikuwa na hoja 66 ambapo hoja 30 ni za miaka ya nyuma na hoja 36 ni za mwaka wa Fedha uliokaguliwa 2021/2022, na kati ya hoja hizo Halmashauri imezifanyia kazi jumla ya mapendekezo 41 ambazo tayari zimefungwa kabisa na kusalia hoja 25.

                                                                                                                                  

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga limeketi na kufanya Mkutano Maalum wa kujadili  hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG)  kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 unaoishia Juni 2022.

Katika taarifa hiyo, kwa Mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 juni 2022 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali CAG zinaonesha alikagua hesabu za Serikali za Halmashauri na kutoa hati inayoridhisha (hati Safi) ya ukaguzi, hali hii imepelekea mwenendo wa Halmasauri kupata hati safi za ukaguzi kwa miaka (7) Mfululizo kuanzia mwaka 2015/2016 hadi 2021/2022.

Akizungumza katika  Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Flex Garden Kiguza Mkuranga, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge  ameiagiza menejimenti kumaliza hoja zote ambazo ziko ndani ya uwezo wa Halmashauri  isipokuwa hoja ambazo zinategemea maamuzi ya Serikali na hoja hizo ziwasilishwe ofisini kwake kwa ajili ya kuzipatia ufumbuzi.

Nae Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Rashid Kassim Mchatta amewataka watumishi kutoa taarifa kwa viongozi wa juu mara zinapoitajika na baadae kutoa taarifa hizo kwa kiongozi wake wa karibu ili kufanikisha uharaka uliopo na kuwezesha viongozi wetu kufanya kazi kwa ufanisi na uharaka.

Awali Mkuu wa wilaya ya Mkuranga, Khadija Nassir Ally amemtaka Mwenyekiti wa Halmashauri kwenda kusimamia namna ya uhamishaji wa watumishi haswa kwa watendaji wa vijiji, kwani husababisha madeni mengi ambayo yanakwenda kutengeneza hoja za CAG.

        “………. Lakini ukikaa na Afisa Utumishi ukimuuliza hivi kulikuwa na sababu gani mtendaji huyo kuzunguka vituo vitatu katika miezi sita (6) sababu zitazokuwa ni kwa sababu, inawezekana sisi viongozi wa kisiasa ndiyo tumeomba na tumeshindwa kufanya nae kazi kwa maslahi yetu, hiyo ndiyo sababu kubwa huwa ninayoipata ninapouliza….” Alisema Mkuu wa wilaya.

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga ilikuwa na hoja 66 ambapo hoja 30 ni za miaka ya nyuma na hoja 36 ni za mwaka wa Fedha uliokaguliwa 2021/2022, na kati ya hoja hizo Halmashauri imezifanyia kazi jumla ya mapendekezo 41 ambazo tayari zimefungwa kabisa na kusalia hoja 25.

                                                                                                                                  

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga limeketi na kufanya Mkutano Maalum wa kujadili  hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG)  kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 unaoishia Juni 2022.

Katika taarifa hiyo, kwa Mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 juni 2022 Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali CAG zinaonesha alikagua hesabu za Serikali za Halmashauri na kutoa hati inayoridhisha (hati Safi) ya ukaguzi, hali hii imepelekea mwenendo wa Halmasauri kupata hati safi za ukaguzi kwa miaka (7) Mfululizo kuanzia mwaka 2015/2016 hadi 2021/2022.

Akizungumza katika  Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Flex Garden Kiguza Mkuranga, Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge  ameiagiza menejimenti kumaliza hoja zote ambazo ziko ndani ya uwezo wa Halmashauri  isipokuwa hoja ambazo zinategemea maamuzi ya Serikali na hoja hizo ziwasilishwe ofisini kwake kwa ajili ya kuzipatia ufumbuzi.

Nae Katibu Tawala Mkoa wa Pwani Rashid Kassim Mchatta amewataka watumishi kutoa taarifa kwa viongozi wa juu mara zinapoitajika na baadae kutoa taarifa hizo kwa kiongozi wake wa karibu ili kufanikisha uharaka uliopo na kuwezesha viongozi wetu kufanya kazi kwa ufanisi na uharaka.

Awali Mkuu wa wilaya ya Mkuranga, Khadija Nassir Ally amemtaka Mwenyekiti wa Halmashauri kwenda kusimamia namna ya uhamishaji wa watumishi haswa kwa watendaji wa vijiji, kwani husababisha madeni mengi ambayo yanakwenda kutengeneza hoja za CAG.

        “………. Lakini ukikaa na Afisa Utumishi ukimuuliza hivi kulikuwa na sababu gani mtendaji huyo kuzunguka vituo vitatu katika miezi sita (6) sababu zitazokuwa ni kwa sababu, inawezekana sisi viongozi wa kisiasa ndiyo tumeomba na tumeshindwa kufanya nae kazi kwa maslahi yetu, hiyo ndiyo sababu kubwa huwa ninayoipata ninapouliza….” Alisema Mkuu wa wilaya.

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga ilikuwa na hoja 66 ambapo hoja 30 ni za miaka ya nyuma na hoja 36 ni za mwaka wa Fedha uliokaguliwa 2021/2022, na kati ya hoja hizo Halmashauri imezifanyia kazi jumla ya mapendekezo 41 ambazo tayari zimefungwa kabisa na kusalia hoja 25.

                                                                                                                                  

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.