• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuu wa Mkoa wa pwani asisitiza kuutumia mfumo wa stakabadhi ghalani

Posted on: December 23rd, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Evarist Ndikilo amesisitiza kuwa uuzwaji na ununuzi wa zao korosho ndani ya Mkoa huo kwa msimu wa mwaka 2019/2010 utafuata sheria na kanuni za mfumo wa stakabadhi ghalani.

Hayo ameyasema jana katika Mkutano mkubwa uliofanyika katika viwanja vya Godown Mkuranga Pwani na kusisitiza serikali haiwezi kuvunja sheria kwa kuuza Korosho kwa kutumia mifumo mingine zaidi ya mfumo uliopo wa stakabadhi ghalani.

Ndikilo ameendelea kupigilia msumali kwa watu wanaotaka kuharibu mfumo huo na kuwaambia hata kama Korosho hizo hazijapokelewa katika ghala kuu kwa kukosa viwango vilivyowekwa vya daraja la kwanza na pili erikali itasimamia Korosho hizo katika maghala ya vyama vya msingi na zitauzwa kwa mfumo uliwekwa wa stakabadhi ghalani.

Nae Naibu waziri wa Kilimo na Ushirika Omari Mgumba amewahakikishia wakulima zao la Korosho ambazo mwaka huu zimeonekana kukosa ubora unaotakiwa, kuwa korosho zao zitauzwa na kila mkulima atapata stahiki yake pamoja na kuwapongeza kwa msimamo wao wa pamoja wa kutetea maslahi yao katika zao hilo.

Mgumba akijibu hoja ya deni linalodaiwa Serikali kwa wakulima wa Korosho kwa Msimu uliopita, iliyowasilishwa na Mbunge wa jimbo la Mkuranga ambaye pia ni Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Abdallah Ulega, amesema Serikali kwa sasa imeshalipa fedha zote kwa korosho ambazo zilikusanywa kupitia maghala makuu na kuwahakikishia wakulima hao kuwa Takukuru inaendelea na uchunguzi kwa wale wote walionekana kukiuka taratibu na kusababisha baadhi ya wakulima kukosa fedha zao hadi sasa.

Ili kuhakikisha Korosho hizo zinauzwa mwaka huu serikali imedhamiria kukutana na wanunuzi wa zao hilo ili kuona ni namna gani wanaweza kununua na kupata vibali vya kusafirisha bila kuathiri sheria na kanuni zilizowekwa.

Wanunuzi wa Korosho wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika mnada unaotarajiwa kufanyika siku ya tarehe 27 mwezi huu kama ambavyo Mkuu wa Mkoa amependekeza.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.