• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mkuu wa Wilaya atoa maelekezo kwa wenyeviti wapya

Posted on: December 2nd, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga amewaagiza watendaji wa Kata wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani kutoa maelekezo kwa wananchi kutowaruhusu watoto wao kwenda shule kwa kipindi chote ambacho mvua zitakuwa zikinyesha katika kipindi cha masika na mvua za vuli na kusababisha mabonde mengi kupitisha maji kwa kasi.

Sanga ametoa agizo hilo mwanzoni mwa wiki hii katika Mkutano kazi wa Kuwapa maelekezo ya utendaji wa shughuli za Serikali kwa Wenyeviti Vijiji na Vitongoji katika ukumbi wa Sekondari ya Mwinyi Mkuranga na kusisitiza ni bora kuvumilia mvua zipite kuliko kupoteza watoto katika kipindi hiko ambacho ni mara nyingi watoto wanakufa kutokana na kusombwa na maji yanayopita katika mito mbalimbali wakati wa kwenda na kurudi shule.

Aidha amewataka viongozi hao kwenda kuwasaidia wananchi bila ubaguzi wa kuangali kabila la mtu, rangi, dini au vyama na wahakikishe wanaenda kutatua migogoro iliyopo kwa wananachi sambamba na kuacha kutumia madaraka yao vibaya ambapo amewaahidi endapo wataenda kinyume na taratibu hawatosita kuwanyang’anya kadi kwa mujibu wa katiba ya Chama cha Mapinduzi pamoja na kuwaondoa katika nyafazi zao.

Akijibu baadhi ya maswali kutoka kwa viongozi hao Sanga amesema katika changamoto ya Barabara ambazo zimeharibiwa na mvua hivi karibuni, tayari mkandarasi ameshapatikana na tayari mikataba ya kufanya kazi hiyi imeshasainiwa isipokuwa wanasubili hali ya mvua itulie ili ukarabati wa miundo mbinu hiyo ifanyike.

Akihitimisha Mkutano huo Sanga amewaambia Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji kuwa hawakuchaguliwa kwa ajili ya kwenda kuuza Ardhi bali kuwasimamia wananchi katika mahitaji yao kama ambavyo Rais John Pombe Magufuli anataka na kama wanaona hawatoweza basi waachie ngazi mapema sambamba na kuiagiza Takukuru kufanya uchunguzi katika vijiji vyote vinavyofanya mauzo ya Ardhi ili kubaini fedha zilizokusanywa zimetumikaje.

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde amewataka wamiliki wote wa machimbo ya mchanga kufanya marekebisho ya barabara wanazotumia kupitisha magari yao kwani imekuwa kero kwa wananchi kushindwa kupita na magari madogo kutokan na uhharibifu unaofanywa na magari hayo.

Viongozi hao wa Vijiji wameingia makubaliano kuwa wako tayari kuwajibishwa itakapotekea kuulizwa maswali matano katika mikutano itakayofanywa na Mkuu wa wilaya katika ziara zake vijijini.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.