• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Tasks MIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA AWAPONGEZA MKURUGENZI NA WATAALAMU KWA KUBORESHA UKUSANYAJI WA MAPATO YA NDANI

Posted on: April 29th, 2022

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani limekutana kwenye kikao cha kawaida robo tatu limempongeza Afisa Mipango Bi.Kaunga Amani kwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa miundombinu mashuleni.Akitoa ufafanuzi wa kwenye pesa za miradi vijijini Afisa Mipango Bi.Kaunga alisema mwongozo unawatambua kamati ya shule kupelekwa pesa huku utaratibu wa kupelekwa vijijini ukifanyiwa kazi.

Mkuu wa Wilaya Bi.Khadija Nasri Ali amewapongeza wataalamu wakiongozwa na Mkurungenzi wa Halmashauri Bi.Mwantum Mgonja kwa kuboresha ukusanyaji wa mapato huku akiwataka wabuni vyanzo vingine vya mapato. akifafanua zaidi Mwenyekiti huyo wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya aliitaka wapime ardhi kutumia fukwe na mazao ya kimkakati ikiwemo zao la korosho.

 Aidha,Mkuu huyo ameagiza walimu wasiwe wasimamizi wa miradi ya ujenzi huku akiitaka Halmashauri ya Wilaya kutunga sheria ndogo ili kuzipa nguvu serikali za vijiji ziendeshe miradi ya ujenzi na kuwapunguzia mizigo walimu.

Pia, Bi.Khadija ameitaka Halmashauri ya Wilaya kuweka mkazo kwenye sekta ya kilimo ambayo inagusa wananchi.Mkuu huyo ameitaka kitengo cha Tehama kuboresha miundombinu kwa kuunganisha mambo yote anayotakiwa kufahamu mwwekezaji kwenye mfumo ili kumrahisihia mwekezaji kutopata shida kwenye uwekezaji.

  

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA April 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI WA UDEREVA MKURANGA May 13, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI WA UDEREVA MKURANGA May 13, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI WA UDEREVA MKURANGA May 13, 2022
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • WILAYA YA MKURANGA IMEPOKEA MWENGE WA UHURU NA KUWEZA KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MIRADI MBALIMBALI

    May 03, 2022
  • MKUU WA MKOA PWANI MHE.ABOUBAKAR KUNENGEAMEWATAKA WAAJIRI KUWAPA MIKATABA WAFANYAKAZI WA VIWANDANI PAMOJA NA TAASISI ZINGINE

    May 01, 2022
  • MKUU WA WILAYA AWAPONGEZA MKURUGENZI NA WATAALAMU KWA KUBORESHA UKUSANYAJI WA MAPATO YA NDANI

    April 29, 2022
  • MKUU WA MKOA WA PWANI ABUBAKAR KUNENGE AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MWENGE WILAYANI MKURANGA

    April 25, 2022
  • Tazama vyote

Video

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA AELEZEA MAFANIKIO YA ANUANI ZA MAKAZI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi: +255784494689

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2021 MkurangaDc. All rights reserved.