• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKUU WA WILAYA MKURANGA ATOA TAHADHARI KWA WAKUU WA SHULE ZA BWENI.

Posted on: July 25th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Mhe. Hadija Nasri amewataka Wakuu wa Shule za bweni zilizopo ndani ya wilaya ya mkuranga kuchukua tahadhari ya namna ya kukabiliana na majanga ya moto yanayoweza kutokea mashuleni.

Akizungumza katika kikao alichoitisha leo tarehe 26 Julai, 2021 kilichojumuisha Wakuu wa Shule za bweni na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya, Mkuu huyo aliwawasisitiza wakuu wa shule kuwa na dhana za kuzimia moto katika viunga vyote vinavyoizunguka shule ikiwemo mabwenini na katika mabwalo ya chakula.

Akitoa ufafanuzi wa namna ya kukabiliana na majanga yanayosababishwa na moto Afisa wa jeshi la Zimamoto na uokoaji Mkuranga A/Insp. Fransisco Chunji amewaomba walimu kuwashirikisha katika ujenzi wa mabweni na majengo ya shule ili kuweza kuwashauri katika kuweka mifumo ya kung’amua moshi kabla madhara makubwa yanayoweza kusababishwa na moto kutokea.

Aidha, Chunji aliwaeleza walimu hao kushirikiana na Kamati za Shule kujenga utaratibu wa kuzungumza na wanafunzi mara kwa mara kwa lengo la kupata taarifa za Watoto ambao wanaweza kuwa chanzo cha majanga hayo kutokana na utovu wa nidhamu au kutokuridhishwa na huduma zinazotolewa mashuleni na hivyo kufanya hujuma kati ya wanafunzi, wanafunzi na walimu au wananchi kutoka nje ya shule.

Askari huyo aliwataka walimu kuchukua tahadhari ikiwemo ukaguzi wa majengo  ambayo yamekaa mda mrefu yanayoonesha hali ya uchakavu kufanyiwa  ukarabati wa kuta nenye nyufa na mifumo ya umeme.

Mkurugenzi Mtendaji Mhandisi Mshamu Munde aliyewakilishwa na Afisa Elimu Wilaya Mwalimu Benjamini Majoya, amewataka walimu kufanya mabaraza angalau mara moja kwa muhula ili kuwaruhusu wanafunzi kusema nini wanataka katika madarasa yao na mabweni ili kupata picha ya changamoto na shida zinazowagusa na kupitia hayo unaweza kupata taarifa za mambo yanayowasibu, mfano kuna mwalimu anachapa sana, kutokujua hilo kunaweza kusababisha wanafunzi kuchukia na kutafuta upenyo wa kuwasilisha hisia zao kwa kufanya uharibifu wa miundo mbinu kwa kutumia njia za Kuchoma moto au kuvunja vifaa vya kusomea

“Watoto kama jamii na familia ya shule mbinu mbali mbali zinaweza kutumika lakini ni muhimu kuwapa majukwaa ya kusemea changamoto zao” alisema.

Akihitimisha Mganga Mkuu wa Wilaya Dk. Ally Mbikilwa alitoa ufafanuzi juu ya tahadhali ya ugonjwa wa UVIKO19 na kuwataka walimu kuchukua hatua kama miongozo na maelekezo ya afya yanavyotolewa na Serikali ili kuikinga jamii ya shule kwa ujumla.

              

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.