• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA MKURANGA AITAKA MAHAKAMA YA ARDHI KUENDELEA KUTOA MSAADA WA ELIMU JUU YA UENDESHAJI WA KESI ZINAZOHUSU ARDHI

Posted on: February 2nd, 2022

Mkuu wa  Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Mhe.Hadija  Nasri Ali ameitaka mahakama ya Ardhi kuendelea kutoa Msaada wa Elimu juu ya uendeshaji wa kesi za zinazohusu ardhi hii ni kutokana na kuwepo kwa malalamiko mengi kwa wananchi juu ya kesi hizo kwa sababu ya kukosa uelewa wa namna zinavyoendeshwa.

“Katika kesi nyingi zinazofika katika ofisi yangu zinahusiana na ardhi  na kwa vile ni eneo linalo lalamikiwa  kwa wingi sana basi naendelea kutoa maelekezo kwa wahusika  wote lakini pia kuwashauri kuendesha mashauri hayo kwa haraka ili wananchi waweze kupata haki zao na kufurahia uwepo wa Serikali ndani ya maeneo yao” Alisema.

Akizungumzia umuhimu wa Teknolojia Mahakamani Hakimu Mfawidhi Wilaya Herieth Mwailolo amesema Mahabusu wengi wamefurahia matumizi ya uendeshaji wa kesi kimtandao hii ni kwa sababu  inapunguza kuhairishwa kwa kesi pia kesi zinafikia hukumu kwa wakati na kwa mda mfupi.

Akiongezea umuhimu wa mahakama ya kimtandao  Emanuel Maleko Wakili Mwandamizi wa Serikali Mkoa wa Pwani amesema tumeshuhudia matumizi ya mtandao kusajili na kusikiliza mashauri yakifanikisha usimamizi na utoaji haki hasa katika kipindi cha janga la UVIKO 19 ambapo mashauri yalisikilizwa bila msongamano mahakamani, kwa mfano katika mashauri ya jinai watuhumiwa walisomewa mashitaka na mashauri kuendeshwa wakiwa mahabusu na rufaa kusikilizwa huku wafungwa wakiwa magerezani.

Aidha , Mfumo wa Mahakama Mtandao umeleta faida kubwa ikiwa ni pamoja na kuokoa muda na gharama za Makatibu Sheria na Mawakili wa Serikali pamoja na wadau mbalimbali kusafiri katika wilaya na mikoa mbalimbali kusajili na kuendesha mashauri, kuongeza uwazi na kutoa huduma kwa ufanisi. Aliongeza.

Naye Majid Matitu  wakili wa kujitegemea na mwakilishi wa Chama cha Mawakili

Tanganyika (TLS) Pwani ameeleza changamoto zinazowakabili ni Mawakili Vishoka pamoja na baadhi ya ofisi za Serikali na Taasisi za Fedha kuwarudisha wananchi wanaowaandalia nyaraka za kisheria katika kupata huduma na kuwarejesha kwa kuwaeleza kuwa ni lazima zigongwe muhuri wa mahakama tu.

Maadhimisho yalipambwa kwa kauli mbiu isemayo

 "ZAMA ZA MAPINDUZI YA NNE YA VIWANDA  SAFARI YA MABORESHO KUELEKEA MAHAKAMA MTANDAO".

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.