• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Tasks MIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Idara ya fedha na Biashara
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ardhi
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi Au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MKUU WA WILAYA YA MKURANGA AWATAKA MAAFISA MAZINGIRA KUFATA SHERIA,KANUNI NA TARATIBU ZA KAZI ZAO

Posted on: June 4th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga yaadhimisha siku ya Mazingira Duniani katika eneo la soko kuu la Halmashauri.

Katika Maadhimisho hayo kumefanyika usafi wa nje ya Soko ukiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi. Hadija Nassir Ali alieambatana na Mwenyekiti wa Halmashauri sambamba na Mkurugenzi Mtendaji.

 Mhe.Hadija Nasri Ali ambae ndiye Mgeni Rasmi  amezungumza na Wananchi na kusema “usafi ni muhimu hivyo tunawajibu wa kuhakikisha kuwa mazingira yanayotuzunguka yanakuwa safi na salama kwa afya zetu”.

Aidha amewataka Maafisa mazingira kufata Sheria,Kanuni na taratibu za  kazi zao katika ukaguzi wa  viwanda ambavyo vipo ndani ya wilaya na kusisitiza kuwa endapo kuna  kiwanda ambacho hakifati sheria na taratibu zilizowekwa kisheria basi achukuliwe hatua ikiwemo kufungiwa shughuli za uzalishaji kiwandani hapo.

Sambamba na hilo, amesisitiza kupitiwa kwa Sheria ndogo za utunzaji wa Mazingira kulinga na wakati wa sasa ambapo ukuaji wa miji umekuwa mkubwa.

Nae Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri Bi.Mwantum Mgonja amewashukuru wananchi wote waliojitokeza katika kufanya usafi kwenye siku ya mazingira huku akiwaomba  kuendeleza kutunza mazingira yanayowazunguka kwa  kufanya usafi mara kwa mara

                  “ Mazingira ni Afya hivyo tunatakiwa kuyatunza”


Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga imeendelea kutekeleza maazimio  ya kuhakikisha kila ifikapo Jumamosi ya mwisho wa mwezi usafi unafanyika kwenye maeneo yote.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA UDEREVA April 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI WA UDEREVA MKURANGA May 13, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI WA UDEREVA MKURANGA May 13, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI WA UDEREVA MKURANGA May 13, 2022
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • BI.MWANTUM MGONJA AWATAKA WANANCHI KUPATA VIPALI VYA UJENZI WA MAJENGO ILI KUWEZESHA HALMASHAURI KUKUSANYA MAPATO YATAKAYOTUMIKA KATIKA UJENZI WA MIUNDOMBINU

    June 23, 2022
  • AFISA UTUMISHI WA WILAYA YA MKURANGA AELEZEA UTARATIBU WA MUUNDO MPYA AMBAO UNAANZA KUTUMIKA HAPO JULAI

    June 23, 2022
  • BI,MWANTUM MGONJA AWAPONGEZA WANANCHI WA MAGOZA KWA KUJITOA KWAO KWENYE KULETA MAENDELEO

    June 22, 2022
  • WALEGWA WA TASAF WAFIKIWE KWA WAKATI NA WAPEWE HUDUMA STAHIKI

    June 21, 2022
  • Tazama vyote

Video

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA AELEZEA MAFANIKIO YA ANUANI ZA MAKAZI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi: +255784494689

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2021 MkurangaDc. All rights reserved.