• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA MKURANGA AWATAKA WANANCHI WOTE KUJITOKEZA KWA WINGI NA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA ZOEZI LA SENSA

Posted on: May 20th, 2022

Mkuu wa wilaya Mkuranga wa Mkoa Pwani Mhe. Hadija Nassir ALi ametoa maagizo kwa Wenyeviti wa Vijiji na Watendaji wa Kata na vijiji kuwa mabalozi katika utunzaji wa mazingira yaliyotengwa kwa ajili ya miradi ya ufugaji wa nyuki sambamba na upandaji wa miche ya Miembe.

Hayo ameyasema leo Mei 20, 2022 katika shule ya  msingi Lukanga wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya nyuki Duniani.

Mh. Hadija aliyewakilishwa na Afisa Tarafa ya Mkuranga Ndg. Clement Muya alisisitiza utunzaji wa Mche ya miembe iliyopandwa sambamba na mizinga ya Nyuki iliyotolewa na Kampuni ya SONGAS  ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za serikali zinazohamasisha wananchi kufuga nyuki kisasa ili kuwa na ufugaji bora wa nyuki na kuongeza thamani ya mazao yanayotokana na nyuki.

Akizungumzia umuhimu wa Sensa Bi. Hadija amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi na kutoa ushirikiano wakati wa zoezi la Sensa ya Watu na makazi ifikapo Agosti 2022 huku akifafanua umuhimu wa zoezi hilo katika upangaji wa mipango ya maendeleo na ugawaji wa Rasilimali kwa wananchi.

Naye Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya na Diwani wa kata ya Shungubweni Mh. Shaibu Kambwili amemtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya Bi. Mwantum Mgonja kuzungumza na walimu na kutenga mda wa kuwafundisha watoto wa shule za Msingi somo la ufugaji wa nyuki na kuwaeleza fursa zinazotokana na mdudu huyo ili kuwajengea uwezo na kuwapa ari ya ufugaji wa nyuki na utunzaji wa Mazingira wakiwa katika umri mdogo.

Maadhimisho hayo yalihitimishwa kwa ugawaji wa vifaa vya ufugaji nyuki ikiwemo mizinga na vifaa vya kujikinga na utunzaji wa nyuki kwa vikundi vinne vya wajasiliamali, na shule za msingi nne.

"Nyuki ni uchumi tuwalinde na kuhifadhi mazingira yao".






Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.