• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA MKURANGA BI.KHADIJA NASIR ALLY AZUNGUMZA NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

Posted on: November 25th, 2021


Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi Khadija Nasiri Ally ameitaka michango ya Asasi za kiraia (NGO's) ijikite katika maendeleo ya Wilaya kubainisha changamoto na kuimarisha mahusiano kati ya serikali na NGO's zinazotoa huduma katika Wilaya hii. 


Akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa masharika yasiyo ya kiserikali (NGOs') ,Mkuu huyo amesema sera ya Taifa ya NGO's mwaka 2001 imeweka misingi ya uratibu pamoja na mazingira wezeshi ya utendaji kazi .


Akizungumzia mkutano wa NGO's Taifa ambao mgeni rasmi alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan ameelekeza mipango ya (NGO's) iangalie mipango ya kitaifa ,Mashirika yaongeze uwazi katika utendaji kazi ,wawe na mipango wa kujitegemea unaozingatia tamaduni. Nae Bi khadija amezitaka NGO's kufahamu mkono wa pili wa serikali ambapo mwongozo unazitaka zifanye shughuli zao kwa uwazi kama taarifa za fedha,ulipaji ada ifanyike kwa wakati .


Aidha taarifa ya Mkoa iliyowasilishwa na Afisa Maendeleo ya jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Peter Nambunga amesema wanapokea maombi ya usajili kwa kujikita kwenye malengo na kuangalia matumizi ya pesa watazitambua NGO's wanaofanya nao kazi. Pia Bw.Nambunga alitumia fursa hiyo kuweka bayana Bajeti ya Halmshauri ifanyike baada ya kukutana na NGO's kazi za NGO's za Taifa zishirikishe zile ndogo ili kuwajengea uwezo.


Nae Mwanasheria wa serikali kutoka Wizara ya Afya !Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Faki Shaweji amezitaka NGO's ziwasilishe taarifa ya fedha robo mwaka kwa msajili ili kuwekea uhai wao.


Nae Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye pia Mwanasheria wa Halmashauri amezitaka NGO's kutumia vikao vya Baraza la Madiwani ambalo la wazi kuangalia fursa zinazopatikana katika sekta ya elimu ,afya ,kilimo na zinginezo ili wafaidike na fursa zitolewazo.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.