• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

DC Sanga atoa maagizo kwa Wananchi, Halmashauri

Posted on: January 16th, 2018

Kikao cha baraza la Ushauri la Wilaya ya Mkuranga kilifanyika jana tarehe 15.01.2018 katika ukumbi wa mikutano wa Felix Garden Mkuranga mjini kujadili mipango pamoja na shughuli mbalimbali za maendeleo zinazofanyika hapa wilayani. Akizungumza katika kikao hicho, mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Mkuranga Mhe. Filberto Sanga alitoa shukrani za dhati kwa wananchi wote wa Mkuranga kwa ushirikiano mkubwa walioutoa kwa vyombo mbalimbali vya usalama wa raia na hivyo kufanikisha kudhibiti vitendo vya uhalifu vilivyokuwa vinaashiria kutoweka kwa amani katika wilaya. “Hivi sasa wilaya yetu ni salama na wananchi wote wanaendelea vizuri na shughuli zao za kiuchumi” Alisema!.

Aidha pamoja na hali hiyo ya utulivu, alisisitiza kuwa zuio la PikiPiki (Bodaboda) kutotembea baada ya saa 12:00 Jioni linaendelea kama ilivyoazimiwa na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa. Aliwataka wananchi wote kuendelea kuchukua tahadhari kwa kuwafuatilia wageni wote wanaoingia katika maeneo yao kwa kutambua wanapotoka na shughuli wanazozifanya. Pamoja na nasaha zake kwa wajumbe waliohudhuria kikao hicho, Mhe. Mkuu wa wilaya alitoa matangazo yafuatayo:-

  • Sherehe zote za kitaifa ziandaliwe na kuadhimishwa kwa kuzingatia ratiba ya matukio ya kitaifa, hiyo ni sambamba na Siku ya usafi kila jumamosi ya kwanza ya mwezi na Mazoezi kwa Afya kila jumamosi ya pili.
  • Zipo kesi mbalimbali za Ardhi na migogoro mingi ya ardhi katika wilaya hivyo kuanzia sasa Mauzo yoyote ya ardhi yasimamiwe na Mwenyekiti wa kijiji husika na kuidhinishwa na wajumbe wa serikali ya kijiji.
  • Mkuranga inawakaribisha wawekezaji mbalimbali kuja kuwekeza katika maeneo ambayo yametengwa kwa ajili ya uwekezaji, hivyo kuanzia sasa uwepo uwazi kuhusu wawekezaji wanaofika na kufanya uwekezaji katika wilaya yetu.
  • Zipo taasisi mbalimbali za kidini na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’S) zinazofanya kazi mbalimbali na hata kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii. Amewataka viongozi wa ngazi zote kutoa ushirikiano na kutokuwa kikwazo kwa maendeleo.
  • Mwisho alitangaza ratiba ya ziara katika vijiji mbalimbali kusikiliza kero za wananchi, aliwataka viongozi wote na wataalamu katika maeneo husika kutoa ushirikiano.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.