• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA MKURANGA MHE.HADIJA NASRI ALI AWASHUKURU BENKI YA NMB KWA KUTOA MISAADA MBALIMBALI

Posted on: June 28th, 2022

Benki ya NMB Mkuranga Mkoa wa Pwani  yatoa  msaada wa vifaa vya ujenzi na nyenzo za kufundishia katika kijiji cha Kiparang'anda kilichopo  kata ya Kiparang'anda 

Akizungumza katika halfa ya shukrani  Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mh. Khadija Nasri Ali amewashukuru Benki ya NMB kwa kuwapatia  msaada huo ambao unaenda kuendeleza ujenzi wa zahanati ambayo imejengwa kwa nguvu za wananchi, fedha kutoka Halmashauri sambamba na Serikali kuu ambayo imeleta fedha kiasi cha shilingi milioni 54 kwa ajili ya umaliziaji.

Aidha Mkuu wa Wilaya amewapongeza NMB kwa namna ambavyo wamekua wadau wa maendeleo na kuwaomba kuendeleza ushirikiano katika kutekeleza miradi mbali mbali ikiwa ni sehemu yao ya kurudisha shukrani kwa jamii kupitia asilimia moja ya faida  inayotokana na uendeshaji wa Taasisi hiyo.

Bi. Khadija alienda mbali zaidi kwa kuwapongeza Viongozi na wananchi wa Kijiji cha Kiparang'anda huku akiwasisitiza kuzidi kushirikiana katika kuimarisha ujenzi wa miundo mbinu ndani ya kijiji chao huku akiwataka vifaa walivyopewa na NMB vitumike vizuri ili kuhakikisha kituo hiko kinamalizika.

Nae Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Bi Mwanamsiu Dosi amewashukuru NMB kwa kuweza kuwapatia msaada wa vifaa hivyo vya ujenzi ambavyo vimeipunguzia Halmashauri gharama ambapo fedha zilizopangwa kununua mabati zitaenda kuongeza  nguvu kwenye miradi mingine.

Diwani wa Kata ya Kiparanganda Mhe.Shomari Mwambala ametoa shukurani kwa niaba ya uongozi wa kijiji cha Magoza pamoja na wananchi wote kwa  Benki ya NMB kwa kuweza kuwasaidia katika kuweka juhudi katika  kituo cha afya cha Kiparang'anda na kuahidi wao kama viongozi watazidisha juhudi na vifaa vilivotolewa vitatumika vizuri katika ujenzi.

 Meneja wa  Kanda wa NMB Bw Donatus Richard  ameshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kupokea Misaada hiyo huku akiahidi kuendele kutoa sawa na mahitaji, jumla ya mabati 210, misumali kilo 40 na kompyuta tatu zimetolewa kwa lengo la kuunga juhudi za Mh. Rais za kuimarisha miundo mbinu ya Elimu na Afya.



Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.