• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Mwenge wa Uhuru 2018 Wang'ara Mkuranga

Posted on: July 13th, 2018


Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa mwaka huu Charles kabeho ameiasa jamii kutimiza wajibu wa kushirikiana na wadau na Serikali kuwekeza   katika elimu pamoja  na kutatua changamoto hasa ya Miundombinu iliyopo kwenye baadhi ya shule.

Aidha amewaonya watu watakaobainika kudanganya katika kupata mikopo ya elimu wakati wana uwezo.

Kabeho alitoa rai hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Mkuranga,Alisema kuna watu wenye uwezo wa kifedha lakini wanataka kudanganya ili wapate mikopo hiyo.

Kabeho aliwaagiza viongozi kuhakikisha baadhi yao waliobahatika kupata mikopo hiyo warejeshe haraka ili wengine wenye mahitaji wapate kunufaika na mikopo hiyo.

Kiongozi  huyo wa mbio za Mwennganyifge alieleza watakaobanika kudanganya ili kupewa  kwa kufanya danganyifu wachukuliwe hatua za kisheria na kwamba serikali  haipo tayari kuona hali kama hiyo inajitokeza.

Akizungumza Suala la wananchi kushirikiana na Serikali na wadau katika kuwekeza kwenye elimu alisema,licha ya mpango wa elimu bila malipo lakini wananchi wanapaswa kuwa sehemu ya kuchangia mahitaji  muhimu ya watoto wao mashuleni.

Kabeho alibainisha ili kupunguza changamoto ya uhaba ya miundombinu hasa madarasa ni lazima kushirikiana kwa lengo la kupunguza tatizo la mrundikano wa wanafunzi katika baadhi ya shule.

“Ni jukumu la wananchi pia kuwezesha watoto wao  katika mahitaji mengine kama sare za shule,chakula na madaftari” alisisitiza.

Pamoja na hayo alieleza kwamba hadi sasa wameshakimbiza mwenge huo katilmashaurika  mikoa 20 na Halmashauri 104.

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mh.Filberto Sanga alisema kwamba Mwenge wa Uhuru ukiwa Wilayani Mkuranga utapitia miradi tisa ya maendeleo yenye  thamani ya Tshs 2,675,776,900/-ambapo katika fedha hizo Serikali kuu imechangia Tshs 400,000,000/- Michango ya Wananchi Tshs 15,295,000/-,Halmashauri ya Wilaya Tshs 99,911,900/- na Wahisani walichangia Tshs 2,160,570,000/-

Mwenge wa Uhuru umeingia MkoaniPwani July 12 na utapitia miradi ya maendeleo 67 yenye thamani ya Tshs bilioni 162,440.8.Ambapo kati ya miradi hiyo 16 itawkewe mawe ya msingi,miradi 13 itazinduliwa,miradi 8 itafungliwa na 21 itakaguliwa.

Akikabidhiwa Mwenge huo Wilayani kuranga Ndikilo alisema Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoani humo pia utapitia Wilaya 7 na Halmashauri 9.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.