• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Kanda ya Mashariki washeherekea maonyesho ya NaneNane

Posted on: August 1st, 2017

Maonyesho ya sherehe za wakulima na wafugaji Nane Nane ya Kanda ya Mashariki yamezinduliwa leo tarehe 1.08.2017 katika uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,Nanenane ambapo mgeni rasmi wa sherehe  hizo alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa Majaliwa lakini aliwakilishwa na Pro.Jumanne Maghembe (MB) Waziri wa Maliasili na Utalii.

Akizungumza  wakati wa uzinduzi huo Mkoani Morogoro Prof Maghembe alisema lengo la  Serikali ya awamu ya tano ni kuhakikisha ifikapo mwaka 2025 Tanzania inakuwa na uchumi wa kati na mpaka sasa imebaki miaka nane ili nchi iwe Taifa lenye  uchumi wa Kati na  dhana  hii lazima itekelezwa kupitia kilimo.

Prof Maghembe aliongeza kwa kusema nchi ya viwanda huenda sambamba na nchi ya kilimo kwani viwanda kwa asilimia tisini hutegemea malighafi kutokana na kilimo na maligafi za kilimo lazima zizalishwe za kutosha ili taifa  litoke kwenye umaskini kwenda kwenye nchi wa uchumi wa kati.

“Ili wakulima wazalishe lazima wasikilize ujumbe mzuri wa bei  ya mazao, kuwe na bei inayosimamiwa na serikali na bei inayolingana na bei ya soko la  dunia, hatuwezi kufika taifa la uchumi wa kati bila kuwa na bei stahiki ya mazao. Pia wakulima wasimamiwe, wafuate misingi ya sayansi na teknolojia katika kulima ili wapate mazao mengi”.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng.Evarist Ndikilo alimshukuru Prof Maghembe kwa kutumia muda wake na kushiriki maonyesho ya Nanenane kanda ya Mashariki na alisema”kanda ya mashariki inakua siku hadi siku katika Nyanja za uzalishaji wa mazao ambapo Morogoro inaongoza lakini pia kwa upande wa viwanda Pwani na Dar es salaam ina viwanda vya kutosha hivyo hatuna shaka 2020 kwenye pato la taifa litaongezeka”

 Maonyesho ya sherehe za wakulima na wafugaji Nane Nane ya Kanda ya Mashariki yameshirikisha Mkoa wa Pwani, Morogoro,Dar es salaam,na Tanga na Maonyesho ya mwaka 2017 yameambatana na kauli mbiu isemayo”Zalisha kwa tija mazao na bidhaa za kilimo,Mifugo na Uvuvi ili kufikia uchumi wa kati”.



Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.