• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

PROFESA NAGU APONGEZA HUDUMA ZA MAABARA MKURANGA

Posted on: June 5th, 2025

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais  - TAMISEMI (Afya) Profesa Tumaini Nagu ameipongeza Mkuranga kujenga Hospitali mpya na ya  kisasa  inayotoa huduma za maabara kwa kiwango cha kimataifa.

Hayo ameyasema tarehe 4 Mei 2025 alipofanya ziara ya siku moja ya kutembelea kituo cha Afya Kisiju na Hospitali ya Wilaya ya Mkuranga.

Profesa Nagu amesema Serikali imewekeza fedha nyingi sana katika kuboresha miundo mbinu ya Afya ila kwa Mkuranga amejionea maabara nzuri na ya kisasa  na inatoa huduma kwa kiwango cha hali ya juu sana.

Aidha katika kuboresha huduma za Afya ameagiza zoezi la utoaji wa huduma za chanjo katika Hospitali ya Wilaya liwe la kila siku na muda wote sambamba na kutenga bajeti kwa ajili ya kujenga  jengo jipya la dharula (EMD).

Amesema lengo kuu la ziara hiyo ni kufanya tathmini na kuona maboresho makubwa yaliyofanywa na Serikali katika sekta ya Afya Nchini pamoja na kusikiliza kero na maoni kwa wananchi ili Serikali yao iweze kuzifanyia kazi na kutoa huduma bora kwa wananchi.

Awali akizungumza na watumishi katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri Nagu amesema maeneo yatakayofanyiwa tathmini ni pamoja na hali ya utoaji wa huduma katika vituo vya Afya na Hospitali, upatikanaji na matumizi sahihi ya Dawa, matumizi ya majengo na vifaa vya kutolea huduma, usimamizi wa fedha  pamoja na huduma na chanjo na lishe.

Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa Mkuranga Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mohamed Mwera amemshukuru Mh. Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha kupatikana majengo mpya na ya kisasa na kuahidi kuyatumia vizuri majengo ya Hospitali hiyo kwa kupata huduma za Afya sambamba na kuilinda miundo mbinu hiyo.

Majengo mapya ya Hospitali ya Wilaya ya Mkuranga yamejengwa kupitia fedha kutoka Serikali kuu na jumla ya Shilingi Milioni Mia tisa 900,000,000 zilipokelewa kwa ajili ya ujenzi huo.



Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • PROFESA NAGU APONGEZA HUDUMA ZA MAABARA MKURANGA

    June 05, 2025
  • ULEGA ATOA KADI 1000 ZA BIMA YA AFYA

    June 03, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.