• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Pwamao yatoa vifaa kwa Walemavu Mkuranga

Posted on: December 19th, 2020

Afisa Tarafa ya Mkuranga Clement Muya ameipongeza Asasi ya PWAMAO kwa kusaidiana na Serikali kufuatilia ubora wa huduma zinazotolewa na Maduka ya Dawa muhimu huku akiwahakikishia kuwanao bega kwa bega katika jitihada hizo hatmaye wananchi wapate huduma stahiki.

Akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Filberto Sanga katika kongamano la Afya la wamiliki wa Maduka ya Dawa muhimu Wilayani Mkuranga, Muya ameitaka Asasi hiyo kuendelea kusimamia vema shughuli zao sambamba na kuongeza jitihada zaidi kuwatafuta wadau wengine waweze kuisaidia Wilaya katika changamoto mbali mbali zinazohusiana na Sekta ya Elimu

Akizungumza kwenye hafla ya kuwakabidhi watu wenye ulemavu wa miguu na macho baiskeli (10) na vifaa vya kusaidia kuona vilivyotolewa na Asasi hiyo jana, Mganga Mkuu wa Halmashauri hiyo Dkt Stephen Mwandambo aliwataka walengwa kutoka Kata kumi zilizobahatika kupata vifaa hivyo kuhakikisha wanavitunza vizuri ili viweze kuwasaidia kwa muda mtefu

Aidha Mwandambo alimpongeza Mwenyekiti wa Asasi ya wamiliki wa Maduka ya dawa muhimu Mkoa wa Pwani Salum Kipipa kwa kuandaa kongamano linalolenga kuwahimiza wamiliki hao kufuata kanuni na sheria za utoaji wa huduma hiyo ambayo inagusa kwa karibu maisha ya watu.

Pamoja na hayo Daktari huyo ametoa onyo kali na kuweka bayana kuanza msako mkali vitongoji vyote ili kuyabaini maduka feki ambayo hayajafuata utaratibu kuanzishwa kwake sambamba na wamiliki wote wanaofanya vipimo vya Afya ndani ya Maduka yao na kuahidi kuwachukulia hatua kali za kisheria.

Akitoa neno la shukrani Diwani wa Kata ya Mbezi Rashidi selungwi (ccm) alimpongeza Mdau Ahmed Salim ambaye hivi karibuni aliichangia Wilaya Sh. Milioni mbili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa Madawati sambamba na kuiwezesha Asasi ya Pwamao kwa kuwapatia vifaa hivyo huku akimhakikishia kuendelea kushirikiana nae katika kuleta Maendeleo Mkuranga.

Katika Mgao huo Hospitali ya Wilaya nayo imebahatika kupata Baiskeli (1) ambayo itatumika kuwabebea wagonjwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.