Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

QAMAR FOUDATION YATOA MSAADA KWA WATOTO WASIO NA WAZAZI

Posted on: May 19th, 2020

Taasisi ya Qamar Foundation  iliyopo Nchini  Canada imetoa msaada wa Maziwa aina ya “Lactogen 1”   katoni mbili na nusu  kwa ajili ya watoto wasio na wazazi kwa lengo la kuunga mkono mikakati mbali mbali ya kuboresha afya za watoto wa  Wilaya Mkuranga.

Zoezi hilo limefanyika leo katika hospitali ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa Pwani ikiratibiwa na Afisa Lishe (W) Bi Vumilia Ngandambwa “ alisema anaishukuru sana na kuipongeza Taasisi ya Qamar kwa kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha afya za watoto wanaokumbwa na changamoto mbali mbali  zinaimarika kupitia misaada wanayoitoa”

Akizungumza katika makabidhiano hayo Bi Naima Mlawa mkazi wa kijiji cha Sotele kilichopo kata ya Dondo “ alisema anaishukuru sana taasisi ya ya Qamar Foundation lakini zaidi anawashukuru wauguzi  na madaktari wa hospitali ya wilaya kwa kuwasaidia na kuwawezesha kuwapatia misaaada inayotolewa na wahisani  kuja kwa walengwa na kuwezesha kuitumia pale inapobidi pasi na kuwa na ubadhilifu wa misaada hiyo kama ambavyo ingeweza kufanywa na wataalamu ambao sio waaminifu kwenye jamii wanayoihudumia

Aidha mnufaika huyo, aliongeza kwa kusema maziwa hayo yatawasaidia sana wajukuu zake ambao wamezaliwa Mapacha kwa kipindi ambacho mama wa watoto hao amepatwa na changamoto ya maradhi ya moyo ambayo imepelekea kuhamishwa na kwenda hospitali ya taifa Muhimbili kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi..

Naye bi Salma Mihiko katibu wa idara ya afya na katibu wa kamati ndogo ya Maafa alisema anawashukuru sana viongozi wa taasisi ya QAMAR FOUNDATION na amewataka wafadhili wengine kujitokeza kwa wingi na kuweza kutoa misaada mbalimbali ambayo itawezesha kuimarisha afya za watoto wenye mahitaji ikiwemo vifaa tiba na lishe.

Katika kuhitimisha kwake bi Salma Mihiko amesema wamepokea barakoa mia moja (100)  kwa ajili ya kuwagawia wagonjwa wanaokuja katika hospitali ya wilaya kwa lengo la kupiga vita dhidi ya ugonjwa wa Covid19 unaosababishwa na kirusi cha corona…

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.