• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Rita kutoa Vyeti kwa watoto wote chini ya Miaka mitano Mkuranga

Posted on: December 3rd, 2019

Wakala wa usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Imeendesha mafunzo maalumu ya usajili wa watoto walio na umri chini ya miaka mitano (5) kwa watendaji wa kata na wawakilishi kutoka vituo vinavyotoa huduma ya mama na mtoto wilayani Mkuranga Lengo ikiwa ni kutoa vyeti bure kwa watoto wote walio na umri chini ya miaka mitano

Akifungua mafunzo hayo kwa niaba ya Mkurugenzi, Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya, Dkt. Steven Mwandambo aliwataka walengwa wa mafunzo hayo (Wasajili) kuzingatia weledi katika utoaji wa vyeti hivyo ikiwamo kuzingatia usahihi wa taarifa za wazazi na watoto kwani vyeti hivyo ni haki ya kila raia lakini kutokuwa makini kunaweza kupelekea kusajiliwa kwa watu wasio na sifa mathalani watu wasio Raia wa Tanzania.

Aidha Afisa Usaili kutoka RITA, Bi.Emmanuela Mwingira akiongea na ’Mkuranga DC’ alisema wameamua kufikia hatua hiyo ili kupandisha asilimia ya usajili wa watoto kutoka 13% ilivyo sasa hali inayoigharimu serikali kushindwa kupata taarifa sahihi za vizazi na vifo

Aliongeza kuwa, raia wengi wanashindwa kujisajili kwa wakati kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo umbali na gharama, Hivyo mara baada ya mafunzo hayo raia wataweza kupatiwa vyeti hivyo bure katika ofisi za kata ama Zahanati za vijiji vyao husika tofauti na ilivyokua awali kulazimu kila muhitaji kwenda kufuata vyeti hivyo katika ofisi za wilaya pekee.

Naye Afisa Ustawi wa Jamii Wilaya ya Mkuranga Bi. Phoibe Samuel Peter akielezea umuhimu wa zoezi hilo lenye kauli mbiu “Mtoto anastahili cheti cha Kuzaliwa mpe Haki yake”  alisema, kuwa cheti ni faida kwa mtoto kwani ndio utambulisho wake wa kwanza hivyo ni haki yake na pia itamuwezesha mtoto kupata elimu na maisha bora

Jumla ya washiriki 169 wanapatiwa mafunzo hayo yaliendeshwa na RITA kwa kushirikiana na UNICEF pamoja na Canadian International Development Agency (CIDA) na yatadumu kwa siku tatu

Afisa Ustawi wa jamii Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga Phoibe Samuel Peter akitoa mada wakati wa semina hiyo


Washiriki wakikabidhiwa vitendea kazi / simu za lununu zitakazotumika kusajili vyeti hivyo

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Eng: Mshamu Munde akitoa hutuba wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, kulia ni Mganga Mkuu wa wilaya Steven Mwandambo na kushoto ni Afisa usajili toka RITA Bi. Emmanuela Mwingira 

 


Washiriki wakila kiapo ikiwa ni ishara ya kutenda haki na weledi katika utendaji wao

Wawezeshaji wa semina wakiteta jambo kabla ya kuanza kwa mafunzo hayo

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.