Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

SERIKALI YATENGA SHILINGI BILIONI 37 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA USAMBAZAJI UMEME WILAYANI MKURANGA..

Posted on: August 26th, 2021


Serikali imetenga shilingi Bilioni 37 kwa ajili ya utekelezaji Mradi wa  ujenzi na usambazaji wa miundo mbinu  ya umeme katika vijiji vyote Vilivyopo ndani ya Mkoa wa Pwani

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Nishati Steven Dejauka Byabato Agosti 26,mwaka huu wakati  akizindua  utekelezaji wa Miradi ya umeme vijijini awamu ya tatu mzunguko wa pili katika Kijiji cha Mikele kata ya Njia Nne Wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani.

Amesema kwa kutambua mahitaji ya umeme nchini serikali  inatarajia kutekeleza miradi ya umeme katika vijiji mbalimbali nchini na kwamba ikiwamo mradi wa umeme unaotelekezwa katika  vijiji vya Mikele Kata ya njia nne wilaya ya Mkuranga.

“Serikali  imetenga Shilingi   Bilioni 37 ambazo zinakwenda kutekeleza  miradi ya kusambaza umeme katika mkoa wa Pwani na  Wilaya ya Mkuranga imetoa shilingi  Bilioni 11  na kati  ya hizo shilingi milioni 664 zinaenda kutekeleza mradi wa kusambaza  umeme  katika Kata ya Njia Nne na  shilingi milioni 82 itatumika katika  Kijiji cha mikele.’Alisema

Aidha akikagua miradi hiyo Byabato  alitoa agizo kwa  wasimamizi wanaotekeleza  wa miradi ya kusambaza umeme kuhakikisha wanatoa  kipaumbele katika maeneo ya Umma ikiwemo Shule, hospital, zahanati, na nyumba za ibada

Mkuu Wilaya ya Mkuranga Khadija Nasri Ally aliishukuru serikali kwa kufanisha utekelezaji wa miradi ya kusambaza umeme katika wilaya yake na ameahidi kuwasimamia wakandarasi waliopewa zabuni za kutekeleza miradi hiyo

Khadija amesema kama Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga hatakuwa tayari kuona miradi inachelewesha bila sababu yeyote ya msingi na hivyo kusababisha ucheleleweshaji wa azima ya serikali inayotaka kila Kijiji kipate umeme

Kwa upande wake  Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Abdalah Ulega akatumia fursa hiyo kumuomba Waziri Byabato   kusaidia kuharakishwa suala la uwashaji wa umeme katika Kijiji cha cha ming’ombe

“Mheshimwa Naibu Waziri wa nishati sisi  tutafarijika sana iwapo tukiona maeneo  ya mikele, miteza, na ming’ombe yanawaka umeme  ndio waendelee kwenda kuwasha umeme katika vijiji vingine vilivyopo wilaya ya Mkuranga.Alisema Abdalah Ulega.

Diwani wa njia nne amemuhakikishia mh Naibu waziri kuzungumza na wananchi wa kata hiyo kukubali kutoa maeneo ya kupitisha umeme bila kudai fidia isipokua wameomba kusaidiwa ujenzi wa barabara inayotoka mwarusembe hadi mikele

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.