Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

"SITATOA VIBALI VYA MICHANGO YA CHAKULA" MKUU WA WILAYA MKURANGA.

Posted on: September 7th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Mh. Khadija Nasri Ali ametoa katazo la michango ya chakula mashuleni huku akiwataka wazazi, walimu na wataalamu wa lishe kuanzisha utaratibu wa mashamba ya chakula na bustani za mboga kwa lengo la kukabiliana na changamoto ya njaa Mashuleni.

Akizungumza kwenye Mkutano wa baraza la Madiwani lililoketi kujadili taarifa za robo ya nne kwa mwaka wa fedha 21/22 Mkuu wa Wilaya aliwataka wataalamu wa lishe kuanzisha utaratibu wa kuwajengea vijana uwezo wa kujisimamia katika uzalishaji wa chakula kwani itawasaidia  hata wanapomaliza elimu zao.

"Hatuwezi kuendelea na utaratibu wa kuchangisha wazazi michango ya kununua chakula ili hali tunao uwezo wa kuanzisha bustani za mboga mashuleni na kuwawezesha watoto wetu kupata chakula bila kuchangishana fedha"

Akiendelea Mh Nasri alisisisitiza kwa kusema nimegoma kutoa vibali vya kuchangisha kwa sababu nimeona haitusaidii kuwa na suluhisho la kudumu la changamoto hii.

Akizungumzia suala la ufaulu wa masomo Mh. Khadija aliwataka wazazi na walezi kusimamia nidhamu na uadilifu ili kuweza kukuza ufaulu wa vijana hao na kuweza kukabiliana na soko la ajira ambalo limelenga kutumia  watu wenye elimu na ujuzi ku huku akisisitiza wawekezaji wa viwanda wamekua wakija kwa wingi hivyo kupelekea kuhitaji kuajiri watu wenye ujuzi na elimu ili kuendana na kasi ya  maendeleo ya Nchi.

"Niwaombe wazazi na walezi tuwe wasimamizi wazuri kwa Vijana wetu tuwafundishe maadili mema huku tukiwahimiza kusoma kwa bidii"Alisema.

Sambamba na hilo Mh Nasri amewaonya wazazi kuto shirikiana na wahalifu wanaofanya makosa ya kuharibu watoto matendo ya ulawiti na ubakaji kwa makusudi kwa kukaa nao meza moja na kujadili namna ya kuyafumbia macho makosa wanayoyatekeleza isipokua kushirikiana na jeshi la polisi kupinga vikali uhalifu huo.

Baraza la Madiwani lilichagizwa na uchaguzi wa Makamu mwenyekiti huku Mhe. Shomari Mwambala Diwani wa kata ya Kiparang'anda   akiibuka mshindi kwa kupata kura 33.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.