• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

TAMISEMI YAWAAGIZA WAKURUGENZI KUSIMAMIA MIRADI YA TASAF..

Posted on: September 17th, 2019

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tamisemi DR. Dorothy  Gwajima  amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri kote Nchini kusimamia miradi ya TASAF kikamilifu na kuhakikisha katika vikao vyao vya  Halmashauri vya kila mwezi kunakuwa na agenda ya TASAF.

DR.Dorothy ameyasema hayo katika mkutano maalum wa wananchi wa Kata ya Kiparang’anda Wilayani Mkuranga Mkoa  wa Pwani akiwa katika ziara ya kukagua  miradi inayoendeshwa na TASAF  Wilayani Mkuranga.

 DR. amewataka wananchi Wilayani Mkuranga kutoa taarifa kwa wakati mara yanapotokea mabadiliko ndani ya kaya inayonufaika na mradi huo ambao kwa kata ya Kiparang’anda imebahatika kupata mradi wa uhawilishaji fedha.

Aidha amewataka waratibu wa mradi TASAF kutumia utaratibu mzuri na unaofaa katika kuwaondoa wanufaika wa mradi ambao wanaonekana tayari wamejikwamua  kimaisha badala ya kuwaondoa kimya kimya bila ya taarifa ambayo huleta mkanganyiko wa kuhakiki taarifa.

Amesema katika kuhakikisha miradi hii ya TASAF inasonga mbele sambamba na dhamira ya Rais DR John Pombe Magufuli ya kuwaondoa wananchi wake katika uchumi wa chini kwenda uchumi wa kati kupitia viwanda ifikapo mwaka 2025. 

Awali baada ya kupokea taarifa kutoka kwa mratibu wa TASAF Wilayani Mkuranga Safina,  DR. Gwajima amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga sambamba na Mkurugenzi wa Halmashauri  Wilaya ya Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde  kwa kuwapatia chakula cha lishe watoto wenye mahitaji maalum katika Hospital ya Wilaya Mkuranga .

Mradi wa TASAF  Wilayani  Mkuranga unatekelezwa katika vijiji 77 kati ya vijiji 125 na wanufaika wa mradi huu ni kaya 4584.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.