• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

TASAF WAZINDUA PROGRAMU YA STAWISHI MAISHA

Posted on: October 29th, 2024

Programu ya stawishi maisha inayosimamiwa na serikali ya Tanzania kupitia TASAF kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo UNICEF imezinduliwa katika kijiji cha Mkiu Kata ya Nyamato Wilaya ya Mkuranga.


Program hii imezinduliwa October 29,2024 ikiwa na lengo la kuboresha lishe kwa watoto wenye umri kuanzia 0 - 5,mama wajawazito na mabinti balee kwa kuwapa elimu juu ya lishe bora kupitia vipindi vya redio.


Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga ipo katika kutekeleza mpango wa majaribio wa mpango stawishi maisha kati ya Halmashauri 18 zilizochaguliwa na kupelekea kuunda vikundi 30 ambavyo vipo katika Kata 13 na Vijiji 19 na wana kikundi watapata nafasi ya kukutana mara moja kwa wiki kwa lengo la kusikiliza vipindi vya radio vyenye maudhui yanayolenga kuelimisha na kuhamasisha umuhimu wa kujali lishe bora kupitia redio walizopewa.


Bw.Shedrack Mziray Mkurugenzi Mtendaji TASAF amesema mradi huu ni sehemu ya mtandao wetu mpana wa kupunguza utapia mlo kwa Kaya zilizopo katika mradi wa TASAF.Kupitia mpango huu tutakwenda kukuza maendeleo ya rasilimali watu na kuziwezesha Kaya kujiweka huru kutoka katika mnyororo wa umaskini kwa kuzingatia elimu ya lishe bora watakayopatiwa.


Aidha amesema usambazaji wa redio zinazotumia nguvu ya jua (solar) zitahamasisha jamii kushiriki mijadala kuhusu mbinu za lishe bora pamoja na kuelimisha na kuburudisha vipindi vitakuwa kila wiki kwa kipindi cha miezi sita (6).


Nae Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga ambae pia ndio Katibu Tawala wa Wilaya ameishukuru TASAF na wadau wa Maendeleo UNICEF kwa mchango wao wa kipekee katika mpango huu wa lishe bora kwa Kaya zilizopo katika mpango wa TASAF.


"Nawasihi wanajimii wa Wilaya ya Mkuranga kushiriki kikamilifu katika mpango huu na tulete matokeo bora katika Kaya zetu tuhakikishe tunawekeza katika lishe bora ili kuepukana na udumavu kwani serikali imewekeza hivyo tunapaswa kuvipa thamani vitu ambavyo serikali vinawekeza juu yetu."

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.