• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

TFS Mkuranga yahamasika kukata Mikoko kupisha Majahazi

Posted on: November 26th, 2019

Wakala wa Misitu (TFS) Wilaya ya Mkuranga wakishirikiana na Mbunge wa Jimbo la Mkuranga Mkoa wa Pwani ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega wamechangia kiasi cha Shilingi Milioni moja na Laki tatu kwa  vikundi vya usafirishaji mizigo katika Bandari ya Kisiju Wilayani humo kwa ajili ya kutatua changamoto ya kuzama majahazi kwenye Bandari ya Kisiju kunakosababishwa  na Mikoko.

Akikagua eneo hilo kwa Boti juzi baada ya kilio cha wananchi hao ambao asilimia (90) huendesha maisha yao kupitia Bahari ya Hindi, Ulega aliyeongozana na kiongozi wa TFS Wilaya, Christina Ngalawa na Vikundi vya Kusafirisha Mizigo ya Bandalini hapo aliweka bayana kuota kwa Mikoko mipya na mchaga umepelekea boti kutoka Mafia kukwama na zingine kuzama hapo Kisiju na kupoteza Mizigo.

Katika fedha hizo Ulega alichangia Shilingi Milioni Moja na Meneja wa TFS aliahidi kuchangaia shilingi Laki tatu navyo vikundi vilikuwa vimekusanya shilingi laki nne ili kutoa Mikoko ambayo itawezesha boti kupita katika eneo hilo kwa urahisi wakati wa kuingia na kutoka bandarini hapo.

Nae Meneja wa TFS Wilaya ya Mkuranga Chrisina Ngalawa amemwambia Mbunge na ujumbe wote alioambatana nao kuwa kuota kwa mikoko hiyo pamoja na uwepo wa lundo la mchanga ndani ya pwani hiyo ni mabadiliko ya Tabia nchi ndiyo chanzo cha uoto huo wa asili na kuwapa maelekezo ya kuondoa mikoko kwa upana wa mita 40 ili kuwezesha boti na majahazi kupita kwa urahisi na kuzuia ajali zinazoendelea kutokea kila mara katika eneo hilo.

Akihitimisha , Naibu Waziri aliwahakikishia wananchi hao kuwa bandari hiyo haiwezi kufa kwani watu wa Mafia Kaskazini wanategemea sana kuitumia bandari hiyo kusafirisha Mizigo yao kirahisi kutokana na ukaribu uliopo  ambapo ni tofauti na wakitumia bandari ya Nyamisati huku akiwapa pole sambamba na  kuahidi kuwapa viroba vya unga cha kilo 25 kwa wahanga walioezuliwa na kubomolewa nyumba zao kwa upepo.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.