• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Timu ya Uwezeshaji SHULE BORA Mkuranga yakamilisha Mikutano Vijijini

Posted on: November 1st, 2022

Timu ya Uwezeshaji Mradi wa SHURE BORA Wilayani Mkuranga yakamilisha kufafanya Mikutano ya Uhamasishaji na uanzishwaji wa Madarasa ya UTAYARI kwa watoto wanaotarajia kuanza Darasa la Kwanza Mwakani.

Timu hiyo ilitembelea Madarasa ya UTAYARI ya Mfano katika Kijiji cha Vianzi Kitongoji cha Kihonda na Darasa lingine lililopo Kijiji cha Marogoro Kitongoji cha Sangatini mwanzoni mwa wiki na kupata fursa ya kuongea na wazazi wa wanafunzi hao ili waweze kuimarisha Madarsa hayo na yaweze kufanikisha watoto wao kuwa na uelewa mkubwa mara wanapoingia Darsa la Kwanza.

Afisa Elimu Msingi Bi. Jessy Mpangala amewaambia wazazi kuwa wajizatiti kusimamia mkakati huu ili uwe endelevu kwani baadae huenda Madarasa hayo yakafanikisha kupata Shule shikizi na baadae shule kamili,

“Lakini pia tukaona hii Programu ije huku Vianzi kama ilivyo Nyamato ambako shule mama na watoto waliko ni mbali na vianzi pia kuna hiyo hali, kwamba shule mama iliko na Jamii inavyotawanyika na kujenga kwa kasi ni mbali kufika katika shule mama, kwa hiyo tukaona vituo hivyo vya UTAYARI vianzishwe huku vianzi, hivyo basi ni vema vituo vya utayari vikaanzishwa vikawa shikizi na baadae vikasajiliwa na vikawa shule ilikamilika”  Afisa Elimu Msingi alisema.

Aidha wazazi hao wameshauriwa kutenga maeneo makubwa ya kuanzishwa Madarasa hayo ili yaweze kufanikisha ujenzi wa shule iliyokamilika kwa siku za baadae.

“lakini vigezo na mashari kuzingatiwa kigezo cha kwanza katika lile eneo ambalo tumeliandaa kwa ajili ya Darasa la UTAYARI lazima tuwe na “Plani B” ya kutafuta eneo lingine la wazi kubwa ambalo linapatikana ndani ya eneo letu ambalo tunaona baadae tunataka kujenga shule” Afisa Elimu, Elimu Maaalum Bi. Hellen Benjamin Alisisitiza

Wilaya ya Mkuranga Mpango huu wa uanzishwa wa Madarasa ya Utayari unatekelezwa katika Kata mbili (2) kati ya Ishirini na Tano (25) zilizopo, ambazo ni Kata ya Nyamato na Kata ya Vianzi, ambapo kila Kata itakuwa na Madarasa mawili (2) ya Mfano na kufanya jumla ya Madarasa Manne (4) yanayotekelezwa ndani ya Wilaya ya Mkuranga hadi sasa.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.