• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Timu ya wataalam yaundwa kutatua mgogoro kati ya wafugaji na wakulima

Posted on: August 25th, 2018

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh Abdallah Ulega (MB) amemuagiza katibu mkuu wa wizara ya Mifugo na uvuvi kuunda timu ya wataalam ambao watashughulikia mgogoro kati ya wakulima na wafugaji katika Mkoa wa Pwani.

Akizungumza mbele ya wananchi wa kijiji cha Kondo Mwelanzi kata ya Bupu Wilayani Mkuranga hapo jana kwa lengo la kuwapa pole na kuwatia faraja wananchi wa kijiji hicho ambacho walivamiwa na kupigwa na wafugaji jamii ya wamang’ati katika sikukuu ya Eid El Haji.

“katibu Mkuu wizara ya mifugo na uvuvi atengeneze timu ya wataalam waje mkuranga,kisarawe,,Rufiji na Kibiti kwa sababu ng’ombe wanaotusumbua leo wametokea Kisarawe hivyo upo uwezekano mkubwa wakifukuzwa Mkuranga watakimbilia Rufiji na Kibiti” Ulega alisema

Ulega aliongeza timu ya wataalam itakayoundwa itahusisha Wizara ya Mifugo,Misitu,Ardhi wakishirikiana kwa pamoja na wataalam wa Halmashauri ili wapate majibu ya kisayansi kufahamu mifugo hiyo imetoka wapi na itakwenda wapi na watafutiwe eneo gani ili wakae salama ili kuepusha kuvamia mashamba ya wakulima kila siku.

Ulega alisisitiza timu hiyo  inatakiwa ije na suluhu ya kudumu kuhusu tatizo la wafugaji na wakulima.

“Nalaani kitendo kibaya kilichofanywa na wafugaji hao cha kujichukulia sheria mkononi,vyombo vya dola wahakikishe waliofanya jambo hili wanapatikana  na sheria ichukue mkondo wake”.Ulega alisema

Aidha Ulega alisisitiza kwamba wananchi wanataka mifugo yenye tija lakini sio ufugaji wenye  kuharibu mashamba na mazao ya wananchi.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mh Juma Abeid alitoa pole kwa wananchi waliopatwa na matatizo hayo na kuwataka jeshi la polisi kuhakikisha wamang’ati hao wanapatikana ili wachukuliwe hatua za kisheria.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.