• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Tuuze kuku badala ya Mkaa-Mh Ulega

Posted on: August 12th, 2018


Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi (Mb) Mh Abdallah Ulega amewataka wajasiriamali kubadilika kwa kufuga kuku na kuuza badala ya kusafirisha na kuuza mkaa maeneo mbalimbali ya Dar es salaam.
Waziri Huyo aliyasema hayo Leo hii wakati wa mafunzo kwenye jukwaa la wanawake wilayani Mkuranga lililofanyika katika ukumbi wa kiguza flex.
"Inawezekana tukiweka nia ya kweli tutafanikiwa tubadilishe kutoka kuuza mkaa kwenda kwenye matenga ya kuku" Ulega alisema
Ulega aliongeza kwamba lazima wakina mama wazalishe kuku wa kutosha na wafuge kibiashara ili kuwe na kuku wa kutosha kulisha viwanda vyote vya Mkuranga na Dar es salaam kwa ujumla.
Ulega alisema kuna mradi wa ufugaji wa kondoo unakuja hivi karibuni ambapo utaratibu wake utakuwa kopa kondoo lipa kondoo ikiwa na lengo la kuwasaidia wananchi kujikwamua kwenye umaskini.
Ulega alisisiza kwamba uongozi ni kuwasaidia wananchi watoke kwenye umaskini"Niko tayari kuwahudumia kwa nguvu na maarifa yangu yote ili mradi nihakikishe nawasaidia wananchi wangu kutoka hatua moja kwenye nyingine".
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Eng.Mshamu Munde alisema kwa mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashauri imetenga Mil 433 kama asilimia kumi kutokana na mapato ya ndani ambapo asilimia 4 wanawake,4Vijana na 2 walemavu.
Munde aliongeza kwamba mikopo inayotolewa hawapewi watu ambao hawako tayari kufanya shughuli za maendeleo bali wale wenye utayari wa kufanya shughuli za maendeleo.
Mwenyekiti wa Jukwaa la wanawake wilayani Mkuranga bi Mariam Ulega ametoa pongezi kwa Viongozi wa Wilaya ya Mkuranga kwa kuwa bega kwa bega tangu kuanzishwa kwa jukwaa hili 2017.
Mafunzo ya ujasirimali kwa Jukwaa la wanawake wilayani Mkuranga yameanza rasmi Leo hii na kesho ndio yanamalizika yakiwa yameshirikisha wawakilishi kutoka Kata zote 25 za Mkuranga

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.