• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

TUZO KWA WALIOFANYA VIZURI ZATOLEWA

Posted on: March 12th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani  Mhandisi Mshamu Munde amewapongeza viongozi wa sekta ya elimu msingi wa ngazi mbali mbali kwa mchango wao mkubwa katika kuboresha elimu.

 Akizungumza katika hafla ya utoaji Tuzo kwa waliofanya vizuri Munde aliwaahidi kuwaboreshea maslahi yao na mazingira ya kufanya kazi ili kufanikisha malengo mahsusi ya Taifa kuelekea azma ya kufikia uchumi wa kati kabla ya mwaka (2025) huku akiweka bayana elimu ni mhimili mkubwa kufanikisha uwepo wa viwanda.

Akifungua  hafla hiyo kwenye ukumbi wa shule ya sekondari Ujenzi Mkuranga, Mwenyekiti wa kamati za kudumu  huduma za Jamii Hassani Dunda aliipongeza sekta ya elimu chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde kwa  kuboresha Miundo mbinu hali inayochangia  kufanya vema kwenye mtihani wa Taifa uliopita na kufaulisha wananfunzi 7359 kati ya 8455 ambayo ni sawa na asilimia 86, huku  Halmashauri ya Mkuranga ikiwa ni ya (5) Kimkoa.

Naye Afisa Elimu Msingi  Halmashauri ya Wilaya   Jessy Mpangala alitoa taarifa yake akiwapongeza Walimu pamoja na baadhi ya changamoto mbalimbali zinazowakabili bado wamefanya vizuri kwenye  ufundishaji kiongozi huyo alisema,

“Halmashauri inaupungufu wa walimu (889) kwenye shule zote za msingi sambamba na miundombinu”.

Aidha  Mpangala aliwageukia wazazi akiwataka  kujenga utamaduni wa kufuatilia maendeleo ya taaluma kwa Watoto wao na kuacha kasumba ya kuwashawishi Watoto wafeli mitihani ili kukwepa kutembea umbali mrefu kufuata shule za sekondari.

Sherehe hizo zilipambwa kwa utoaji wa Tuzo mbali mbali zilizokabidhiwa na Mkuu wa Wilaya ikiwemo utoaji wa vyeti na elfu  (20) kwa mwanafunzi bora wa kike na wa kiume wa shule zote za serikali na binafsi zilizofanya vizuri.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.