• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Uelewa juu ya Ulaji sahihi na Lishe waongezeka Mkuranga

Posted on: January 9th, 2019

Hali ya uelewa kwa jamii juu ya masuala ya ulaji sahihi imeongezeka ndani ya Wilaya ya Mkuranga ikilinganishwa na tathmini iliyofanyika kwa robo ya kwanza (Julai – Septemba 2018)

Hayo yamesemwa na Mratibu wa shughuli za lishe Wilaya Bi. Vumilia Ngandambo, wakati wa kikao cha kamati ya lishe Wilaya kwa robo ya pili, kilichofanyika jana katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya Mkuranga.

Alisema, hali ya uelewa juu ya masuala ya lishe kwa makundi muhimu yaani watoto chini ya miaka mitano, wanawake walio katika umri wa kuzaa, vijana balehe  na wazee imeongezeka ikiwa ni jitihada za Idara zote zinazotekeleza masuala ya lishe ambazo ni Elimu, Afya, Maendeleo ya jamii, Kilimo na Maji kupanga shughuli za lishe katika bajeti zao na kutekeleza   mikakati iliyopangwa kwa wakati

“kwa mfano sasahivi tupo katika mchakato wa kuandaa bajeti ya 2019 / 20, kila mtu ameshajiandaa kutekeleza shughuli za lishe, lakini pia tumeona kwamba tathmini imekua nzuri sababu kila idara inaleta taarifa nini inafanya ndani ya ile robo, kwahiyo tunaona uelewa wa masuala ya lishe kuanzia watendaji wakuu umekua ni mzuri sababu Mkurugenzi na  wakuu wa idara wanaelezea nini kimefanyika kwahiyo tunakwenda vizuri. Alisema, Bi. Vumilia  

Aliongeza kuwa masuala mengine yalioratibiwa kutekelezwa katika robo ya pili ni pamoja kuzuia magonjwa yanayofanya jamii isipate virutubishi mwilini na lingine ni kuongeza uzalishaji wa chakula bora ili kusaidia jamii kupata chakula cha kutosha na kilicho bora

Wajumbe wa kamati ya lishe Wilaya wakifuatilia kwa makini dodoso la kikao hicho

Kwa upande mwingine, Bw. Gaidon Haule ambaye ni mdau wa kamati hiyo ya lishe toka shirika la JIMOWAKO, linalojishughulisha na masuala ya jamii hususani watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi alisema, kikao hicho kimesaidia sana kumtengenezea ‘network’ nzuri na wadau mbalimbali wa lishe na pia kupata takwimu na taarifa sahihi zitakazosaidia kupanga mikakati sahihi

Naye, Aniseth Bwakila ambaye ni mjumbe kamati hiyo alisema, mkazo zaidi utiliwe kuelimisha vijana juu ya masuala ya lishe kwani wao ndio kundi kubwa katika jamii na ndio watendaji wakuu kwasasa

Kikao hicho kililenga kutathmini shughuli za lishe zilizofanyika katika robo inayoanza Oktoba – Disemba ili kujua utekelezaji wa shughuli zilizopangwa kutekelezwa katika katika robo hiyo na vilevile kupanga mikakati ya robo inayofuta.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.