• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

ULEGA ATOA VIFAA VYA ELIMU MKURANGA

Posted on: February 12th, 2024

Mbunge wa jimbo la Mkuranga ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na uvuvi Abdallaha Ulega ametoa msaada wa vifaa vya shule wenye thamani ya shilingi Milioni 42,000,000 kwa wanafunzi wenye mazingira magumu na waliofaulu vizuri kidato cha nne pamoja na zawadi kwa walimu waliofaulisha Daraja la kwanza.

Hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga ambapo ameweza kutoa mabegi ya shule, madaftari makubwa na madogo mashine ya kutolea nakala, vitu vingine ni rimu, Jezi za michezo, viatu na kiasi cha shilingi Laki 300,000 kama hamasa kwa walimu ambao shule zao zimepata Daraja la kwanza

Ulega amemshukuru Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utayari wake na kuthibitisha umuhimu wa elimu katika kuwakomboa watanzania kwenye elimu bure na sasa mpaka kidato cha tano na sita sambamba na kuongeza mikopo kwa wanaokwenda vyuo vikuu na sasa ametanua wigo mikopo  inatolewa mpaka vyuo vya kati ili kuwafaa wasiokuwa na uwezo wa kusomesha Watoto ili wapate fursa ya kupata elimu.

Natoa zawadi hizi kama hamasa hasa kwa Watoto ambao wamefanya vizuri katika mitihani yao kwa kupata ufaulu wa Daraja la kwanza kidato cha nne kwani wametuheshimisha sisi wazazi wao sambamba na kuwapa misaada kwa Watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu kwani wameshindwa kufika shuleni kwa kukosa vifaa vya kujisomea

Nae Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Khadija Nassir Ali amewapongeza walimu kwa jitihada kubwa wanayofanya ya kuweza kuhakikisha Watoto wanapata ufaulu mzuri Pamoja na hayo amewataka wazazi kuhakikisha wanasimamia vema maenfeleo ya Watoto wao shuleni na kuweka mahusiao mazuri na walimu kwa kushiriki vikao vya shule ambavyo vinatumika kujadili mustakabali wa Watoto hao


Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.