Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

UTEKELEZAJI WA AGIZO LA UCHUMI WA VIWANDA MKURANGA LAMFURAHISHA DOKTA MAGERE

Posted on: May 19th, 2020


Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Pwani Dkt Delphine Magere  afanya ziara ya kujitambulisha kwa watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Mkuranga leo, hatua hiyo ya kujitambulisha ameifanya baada ya kuteuliwa na Mheshimiwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani na  kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Bi Theresia Mbando aliyestaafu utumishi wa umma kisheria hivi karibuni .

Katika ziara hiyo Dkt Magere amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mhandisi Mshamu Munde kwa kutekeleza agizo la uchumi wa viwanda kwa weledi mkubwa ukilinganisha na wilaya nyingine alizotembelea “  umefanya vizuri sana katika kutekeleza agizo lakini najua peke yako usingefanikiwa bali kwa ushirikiano mlionao na wakuu wa Idara alisema”

Aidha katika uwasilishwaji wa hotuba yake Dkt Magere  aliwataka watumishi kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia kanuni za utumishi wa umma lakini pia alisisitiza kupewa ushirikiano ili wote kwa pamoja waweze kutimiza adhma ya kuwahudumia wananchi wa Wilaya ya Mkuranga pasipo vikwazo vyovyote.

Sanjari na hayo Katibu Tawala huyo alimtaka Mkurugenzi Mtendaji pamoja na wakuu wa idara kufanya tathmini ya kila sekta na matokeo ya tathmini hiyo yatumike kama fursa kwa wananchi wa Mkuranga katika lengo la kufikia uchumi wa kati, lakini pia alisisitiza wakuu wa idara kusimamia kwa weledi ukusanywaji wa mapato na kuzuia mianya ya rushwa ambayo kimsingi inarudisha nyuma maendeleo ya Nchi na jamii kwa ujumla…

Katika kuhitimisha kwake Dkt Magere  alimtaka mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii kupata tathmini ya marejesho ya mikopo inayotolewa kwa walengwa ili waweze kujiridhisha na kuona kuwa kile kinachotolewa na Halmashauri kinafanya kazi na kurejeshwa ili wengine waweze kukopeshwa na kujiinua kiuchumi  hatimaye maisha yao kuboreka

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.