• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

UZINDUZI UTOAJI WA MIKOPO

Posted on: November 19th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya  Mkuranga Mkoa wa Pwani Khadija Nassir Ali amewataka watumishi wote hasa wale wa Idara ya Maendeleo ya Jamii kutoa huduma kwa vikundi vinavyoomba mkopo wa 10% kwa weledi.

Agizo hilo amelitoa Septemba  19, 2024 akiwa katika hafla ya utoaji wa Mikopo hiyo iliyofanyika kwenye viwanja vya Stendi kuu ya mabasi Wilayani humo.

"Hakuna mtumishi hana mshahara, kika mtumishi ana mshahara wake, tumewekwa katika nafasi mbalimbali kwenda kuwatumikia watanzania, kwenda kuwatumikia wananchi wa  Mkuranga, leo hii wananchi wanafika katika ofisi zetu wakiwa wanataka msaada na sisi baada ya kutoa msaada tunakwenda kuwarudisha nyuma" alisisitiza.

Amesema suala la Mikopo linahitaji nidhamu ya hali ya juu ili kuunga mkono jitihada za Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa yeye tayari ameshakamilisha kazi yake ya kutoa fedha hizo, hivyo jukumu lililobaki ni kutumia fedha hizo vizuri na kuzirudisha kwa wakati ili wengine waweze kupata Mikopo hiyo.

Aidha amewataka maafisa maendeleo ya jamii Kata zote kuhakikisha wanakwenda kuvisimamia vizuri  vikundi vyote vilivyochukua mikopo kuwatembelea kila mara na kuona changamoto ili kuweza kufanikisha vikundi hivyo kurudisha mikopo hiyo kwa wakati.

Amesema mikopo hiyo ya 10% haina chama, haina itikadi ya Dini wala Kabila bali mikopo hiyo itaangalia sifa zilizoainishwa na kama unazo mikopo utapata.

Akiwasilisha taarifa ya utoaji wa mikopo hiyo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya, Afisa Maendeleo ya Jamii Wilaya ya Mkuranga Mwanansiu Dossi amesema kwa kipindi hiki cha robo ya kwanza ya Mwaka 2024/25 jumla ya vikundi vinne vimekidhi vigezo na kupewa jumla ya Shilingi Milioni 94.9.

Mkuranga imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 2.1 kwa ajili ya mikopo kwa vikundi vya Wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.