• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Vijana wa Mkuranga watakiwa Kuchangamkia Fursa

Posted on: December 3rd, 2018

Vijana ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga wametakiwa kuchangamkia fursa ya kilimo biasharana kuacha kukaa na kulalamika juu ya ukosefu wa ajira Maneno hayo yalisemwa na Mrabu wa vijana chini ya Taasisi ya Internaonal Instute of Tropical Agriculture (IITA) Bi. Veronika Kebwe waka  wa semina ya mafunzo kwa vijana iliyokua na lengo la kujadiliana fursa mbalimbali zinazopakana kaka kilimo na kuhamasisha teknolojia kuu za kilimo, ikiwa ni  pamoja na kuwasaidia vijana kuongeza uwezo kaka teknolojia Taasisi hiyo inayofadhiliwa na Benki ya maendeleo ya Afrika na kuongozwa na Taasisi ya kimataifa ya kilimo cha kitropiki kupia mradi wa vijana kaka kilimo Biashara ilihamasisha vijana hao kujiunga kaka vikundi ili iwe rahisi kuwahudumia Aidha wataalamu kutoka halmashauri ya wilaya ya Mkuranga, waka wa semina hiyo iliyofanyika kaka ukumbi wa resources centre wilayani hapo na kuwakutanisha vijana na wataalamu wa kilimo na maendeleo walishauri vijana hao kutokaa kusubiri serikali iwaletee maendeleo bali wanatakiwa kuanza kujishughulisha ndipo serikali itaweka mkono wake kuwainua zaidi “Moja ni kuwaunganisha vijana kujiunga kaka vikundi vya uzalishaji kwenye maeneo yao , pili ni kuwa na ujasiri wa kueleza matazo yanayowakabili ili waweze kupawa ufumbuzi wa matazo hayo na la mwisho ni serikali kuwa karibu na vijana kuona tunawasaidiaje ili kujikwamua na matazo ya kiuchumi “ alisema mtaalamu wa Kilimo (mazao) Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga, Bwana Derick Samwel Mradi huo utafanyika kaka nchi 19 barani Afrika kwa mwaka huu na kuanzishwa kwa vituo vya kuatamia vijana (‘incubators’) kaka kilimo biashara zikiwemo nchi za Nigeria, Congo, Benin, Kenya, Tanzania, Uganda, Togo na Zambia  Pia taasisi hiyo itafanyia kazi minyororo 9 ya thamani, kwa mazao ya mpunga, ngano, muhogo, uwele, mtama, na ufagaji wa wanyama wadogo na samaki

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.