• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

VIKUNDI 24 VYAPATIWA MKOPO WA TSH MIL. 208

Posted on: May 23rd, 2022

Mkuu wa wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Mh. Hadija Nassir Ali amempongeza Mkurugenzi Mtendanji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga kwa kusimamia vyema sera  ya Serikali ya kutoa mikopo ya asilimia  kumi fedha zinazotokana na mapato ya ndani.

Akizungumza na wanufaika wa mikopo hiyo wakati wa mafunzo yanayoendelea kufanyika kwenye ukumbi wa Resouce Centre kiguza Ndg. Clement Muya kaimu Mkuu wa Wilaya na Afisa Tarafa ya Mkuranga amesema katika kipindi cha Miaka Mitano iliyopita Halmashauri imetoa fedha kiasi cha shilingi Bil. 1.6 kwa vikundi vya wanawake, vijana na walemavu ikiwa na lengo la kusaidia jamii kuondokana na umasikini.

Akiendelea Kaimu Mkuu wa wilaya aliwaambia vijana kutumia fedha hizo kwa ajili ya malengo waliyojiwekea kwenye vikundi na sio kugawana kama ambavyo makundi mengi yamekua yakifanya.

Nae Mkurugenzi Mtendani Bi. Mwantumu Mgonja amesema Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga  itaendelea kutekeleza sheria ya fedha  ya Serikali za mitaa ya mwaka (2018) pamoja na kanuni za utoaji na usimamizi wa mikopo za mwaka (2019) ambazo zimeelekeza mamlaka za serikali za mitaa kutenga asilimia  kumi ya mapato yake wanayokusanya kutoka kwenye vyanzo vya ndani vya mapato.

Akiwasilisha taarifa za utoaji  mikopo Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya  Jamii Bi. Mwanamsiu Dossi amesema kwa kipindi cha kuanzia Mwezi mei  2021/2022 Halmashauri itatoa jumla ya Tsh. Mil. 208,973,000 kwa vikundi 24 vya wajasiliamali,

Aidha amesisitiza kuwa  Mikopo iliyotolewa ni kiasi cha shilingi  105,365,000 kwa vikindi 15 vya wanawake na Shilingi 103,608,000kwa vikundi 9 vya vijana.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.