• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

WABAKAJI MKURANGA WATANGAZIWA KIAMA

Posted on: June 16th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani  Filberto Sanga ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama sambamba  na watendaji  wa vijiji kuhakikisha wanatokomeza kabisa ubakaji na ulawiti dhidi ya watoto.

Akizungumza na wananchi  kwenye kilele cha siku ya mtoto wa afrika  ambayo kiwilaya ilifanyika kwenye kijiji cha Bupu mwishoni mwa wiki, Sanga alizigeukia  mahakama  na Jeshi la Polisi akizitaka kuharakisha upelelezi na kutoa hukumu mara moja kwa wote watakaokutwa na hatia ya ubakaji na ulawiti

Aidha kiongozi huyo  aliwataka wazazi na walezi  kuhamasishana na kuunda kamati itakayoratibu michango ya pesa na vyakula  kwenye vijiji vyote (125) hatimae watoto wapate milo shuleni ili kuchochea kiwango cha ufaulu sambamba na kupunguza utoro.

Sanga alitumia fursa hiyo kumpongeza mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mhandisi  Mshamu Munde, Asasi za kiraia na wadau wa maendeleo kwa mikakati yao ya kuhakikisha mtoto ambaye ni msingi  wa Taifa endelevu anapata ulinzi ,matunzo,sambamba na kumwendeleza huku akiagiza idara ya maendeleo ya jamii  kusambaza taarifa yao kwenye vitongoji  na viiji ili iwe agenda ya kudumu kwenye vikao vyao.

Awali Mkuu wa Idara ya maendeleo ya jamii Halmashauri ya Wilaya Peter Nambunga  pamoja na kuwashukuru  waliochangia  sherehe hizo akiwemo Ahmed Salum aliomba serikali kuongeza adhabu kwa wabakaji na kutenga gereza lao wakiwa na sare zenye majina “walawiti” kutangazwa ili jamii iwafahamu.

Hafla hiyo iliambatana  na burudani mbali mbali ikiwemo  ngoma ya sindimba na bunge la watoto ambavyo viliwakuna mno wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.