• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

WAITARA AWAAGIZA (NEMC) KUJENGA MAHUSIANO NA OFISI ZA WILAYA....

Posted on: March 15th, 2021


Naibu Waziri Ofisi ya Rais Muungano na Mazingira Mwita Waitara ameliagiza Baraza laTaifa Hifadhi na Mazingira (NEMC) kuhakikisha utendaji kazi wao unawashirikisha Wakuu wa Wilaya ili kuondoa migogoro kati ya Viwanda na wananchi .

Akizungumza na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama na wakuu wa idara wilayani Mkuranga leo Waitara ambaye pia ni Mbunge wa Tarime Vijijini alimwagiza kaimu Mkurugenzi wa (NEMC) Edger Mgila ahakikishe nakala za vyeti vya usajili wa viwanda wanapewa wakuu wa wilaya iwe rahisi kufuatiia uhalali wao.

Kiongozi huyo alimtaka Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD) Andrew Ngassa (SACP) kufuatilia upelelezi wa kesi ya kugushi nakala ya (NEMC) ikiwemo sahihi ya aliyekuwa Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na mazingira George Simba Chawene inayowakabili kiwanda cha Bugalo.

Aidha aliliagiza baraza hilo kufuatilia malipo kwa Wananchi wanaotakiwa kupisha kiwanda cha nondo Fujian kilichopo kisemvule ambacho moshi wake mzito una athari.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya Mkuranga Filberto Sanga alimwomba Naibu Waziri awasaidie kuondoa migogoro kwa kuwaagiza (NEMC) kabla ya kutoa kibali washirikiane na Wizara ya Ardhi uwekezaji ili kujiridhisha usalama wa eneo la ujenzihuku wakitoa kipaumbele kwa Halmashauri kama yao ambayp ina eneo la ardhi kwa uwekezaji.

Naye mwenyekiti wa Halmashauri Wilaya Mohamed Mwela aliwataka wawekezaji ambao wanakuja kwao wasiwatumie madalali kuwaudhi ardhi badala ya idara ya ardhi Halmashauri ili kupata maeneo sahihi.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI

    May 23, 2025
  • MAFUNZO KWA VIKUNDI VINAVYOTARAJIWA KUPEWA MIKOPO YA 10% KWA MWAKA WA FEDHA 2024-2025

    May 20, 2025
  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.