• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wakulima waanza kupatiwa magunia ya Korosho Mkuranga

Posted on: November 14th, 2018

Wakati  Rais wa jamuhuri ya Muunganao wa Tanzania Dk. John Pombe  Magufuli akiendelea kuwahakikisha wakulima wa zao la korosho kupata soko kwa bei ya zaidi ya shilingi 3000 kwa kilo moja ikiwa wanunuzi wa zao hilo hawatajitokeza katika mikoa inayolima zao la korosho, wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani imeanza kusambaza magunia ya kuhifadhia zao hilo kwa wakulima kupitia vyama vya msingi-AMCOS

Ofisi ya Habari ilimefika katika moja ya ghala linalokusanya zao la korosho kwa hatua ya awali kabla ya kuzipeleka katika ghala kuu lililochaguliwa na wilaya hiyo kwa ajili ya kufanyika mnada na kushudia baadhi wa wakulima wakigawiwa magunia hayo ili waweze kuhifadhi kwa utaratibu unaostahili wa zao la korosho baada ya kukaguliwa katika ubora tofauti.

Wakizungumza baadhi ya wakulima wa zao la korosho waliofikisha bidhaa hiyo katika ghala la chama cha ushirika mkuranga -AMCOS na kukaguliwa korosho zao ikiwa ni pamoja na kupewa magunia ili waweze kuhifadhi kwa utaratibu unaostahili walisema.

Mwenyekiti wa chama cha msingi wilaya ya mkuranga-AMCOS Twaha Ramadhani ameelezea jinsi wanavyopokea korosho katika ghala hilo kabla ya kuepeleka katika ghala kuu.”tunakagua ubora wa korosho tunatoa mbovu na kubakisha nzima na pia tunakagua ukavu wa korosho na baada ya hapo tunampa gunia ya kuweka korosho”Ramadhani alisema

Naye afisa ushirika wilaya ya Mkuranga Lawi Magoko alisema  idadi ya magunia yaliypokewa  ni robota 323 na tayari wameshaanza kusambaza kwenye vyama vya ushirika na zimebaki robota 21 za ziada na robota 300 zinatarajia kuja muda wowote.

Pamoja na hilo Serikali imesema wameshapata wanunuzi kwa ajili ya zao la korosho kwa bei ya shilingi 3,300 kwa kilo moja.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.