• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

WALENGWA TASAF WATAKIWA KUWAPELEKA WATOTO SHULE..

Posted on: November 4th, 2020


Mratibu wa mradi wa kusaidia kaya masikini (TASAF) Mkoa wa Pwani bi Asha Itelewe amewataka wazazi ambao ni wanufaika wa mradi huo kuipa elimu kipaumbele kwa kuwapeleka watoto  wao shule  ili watoto waje kuwa msaada kwa wazazi wao lakini pia iwe sehemu ya kujikomboa kielimu na maisha kwa ujumla

Akizungumza  katika ziara iliyofanyika katika kijiji cha kisemvule na vikindu vilivyopo katika Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani bi Itewele alisema wakati tuliopo ni wakati ambao unahitaji wasomi wengi katika jamii ili kuwezesha mambo mbali mbali ya maendeleo kupiga hatua hivyo  basi

“Nitoe rai kwa wanufaika wote kuwapeleka vijana  shule kwani kwa kufanya hivyo kama mzazi au mlezi utakua umempa mtoto haki ya kupata elimu lakini pia umemsaidia kufuta ujinga sambamba na  kumuongezea uelewa na atajua kadri anavyokua afanye nini ili kukabiliana na hali ya umasikini katika jamii yake”

nae  Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi Bi Jessy Mpangala aliongezea kwa kusema Serikali yetu tukufu inatoa elimu bure kwa lengo la kumfanya kila mtoto mwenye umri wa kuanza shule apate fursa ya kuitumia haki yake bila vikwazo vyovyote  hivyo wazazi na walezi fedha inayotengwa kwa ajili ya kununua mahitaji ya mwanafunzi ifanye kazi hiyo sawa na malengo  ili kupunguza ghasia za kumkosesha mtoto vitu muhimu ikiwemo sare za shule kwa kutumia fedha iliyotengwa kwa matumizi mengine.

aidha  Afisa lishe Wilaya Bi Vumilia Mbughi alisisitiza ulaji wa mlo kamili ili kusaidia ukuaji wa afya ya mwili na akili kwa watoto na familia nzima, lakini pia  amewataka wanufaika wa mradi wa tasaf kulima bustani za mboga mboga ili ziweze kutumika kama sehemu ya mlo wao wa kila siku na watoto wasinyimwe vyakula muhimu kwa kuwapa baba zao.

Takribani Milioni 156  zimetolewa kwa kaya masikini  3420 katika vijiji 75  vilivyoo ndani ya halmashauri ya wilaya ya mkuranga.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.