• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wanafunzi watakiwa kujenga utamaduni wa kujisomea

Posted on: October 12th, 2018

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Bwana Cosmas Magigi ambaye pia ni Afisa Elimu Msingi amewataka wanafunzi kujenga utamaduni wa kujisomea vitabu.

Magigi aliyasema hayo hapo jana kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa vitabu na Taasisi ya Hakielimu iliyofanyika  katika  Shule ya Sekondari Kiparang’anda.

“Hakielimu imekua ikiangalia changamoto za serikali na kuzifanyia kazi,tunashukuru na wao wamechukua hatua kwa kuona uhaba wa vitabu katika shule zetu na kutuletea”. Magigi alisema

Magigi aliongeza kwamba walimu wamekua wakiwaandaa wanafunzi kujibu mitihani na baada ya kumaliza mitihani hiyo wanaacha kujisomea na kusababisha mwanafunzi kukosa ujuzi katika maisha.

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Hakielimu Bwana Robert Mihayo alisema lengo la kugawa vitabu hivyo ni kuunga mkono juhudi za serikali kusaidia upatikanaji wa vitabu katika shule zake nchini na pia zoezi hili lina lengo la kuhimiza tabia ya kusoma vitabu miongoni mwa watanzania wa marika yote.

“ingawa vitabu hivi si vya kiada tunaamini kuwa vitasaidia kuimarisha uelewa wa wanafunzi na wananchi wote kwa ujumla kuhusu masuala mbalimbali,pia zoezi hili linataka kujenga utamaduni wa kupenda kusoma miongoni mwa watanzania ambayo iko chini sana”Mihayo alisema

Mihayo aliongeza kwamba ni muhimu watanzania kujenga utamaduni wa kusoma vitabu ili kuchota maarifa mbalimbali na kuwasaidia katika kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo.

Rehema Ngelekele Mwenyekiti wa kujitolea katika masuala ya elimu  kwa kushirikiana na Hakielimu kanda ya kusini alisema alifanya uchunguzi kwa baadhi ya shule za Msingi na Sekondari na kuona upungufu wa vitabu vya ziada na kuchukua hatua kwa kuwaomba Hakielimu waweze kusaidia.

Hamidu Ningoningo mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Kiparang’anda alisema ”Naishukuru sana Taasisi ya Hakielimu kwa kutuwezesha vitabu vya ziada kwani tulikuwa na upungufu mkubwa na vitabu hivi vitatusaidia kupata maarifa na kupandisha ufauu wetu”

 Neema Simon Mwanafunzi wa kidato cha Tatu alisema vitab

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.