• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Wasichana watakiwa kubadili tabia-DC Sanga

Posted on: April 30th, 2018


Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mh Filberto Sanga amewataka wasichana kubadili tabia ili kujiepusha na maambukizi ya ugonjwa wa  saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wenye umri wa miaka 14 walioko shuleni na walio nje ya shule.

Mh Sanga aliyasema hayo leo  hii kwenye hospitali ya Wilaya ya Mkuranga wakati wa uzinduzi wa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi Kiwilaya ambapo inaenda sambamba na maadhimisho ya wiki ya chanjo ambayo inafanyika kila mwaka na utoaji wa chanjo ya sindano  ya kuzuia polio kwa watoto wenye wiki ya 14.

Mh sanga aliongeza ili kujiepusha na Saratani ya mlango wa Kizazi inatakiwa wasichana wakiongozwa na wazazi wao kubadili tabia kwa kujiepusha na shughuli zenye kusababisha kwenda kinyume na maadili ya Mtanzania pia kujiepusha na ngono katika umri mdogo,kuepuka uvutaji wa sigara,kuepuka kubeba mimba katika umri mdogo na kuwa na mwenzi mmoja mwaminifu.

Mratibu wa chanjo hiyo Bi Anna Liachema alisema dalili za saratani ya mlango wa kizazi ni kutokwa uchafu kwenye uke na majimaji uliopauka wa rangi ya kahawia au wenye damu, kutokwa damu bila mpangilio au kutokwa damu baada ya kujamiiana,maumivu ya miguu na kiuno na kuchoka,kupungua uzito pamoja na kupungukiwa na hamu ya kula.

Aidha aliongeza kwamba dalili mbaya zaidi zinazoweza kujitoeza ni pamoja na kuishiwa damu,figo kushindwa kufanya kazi na kupatwa na fistula na uvimbe wa tezi.

Swaumu Said mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mkuranga mwenye umri wa miaka 14 baada ya kupata chanjo alisema”sisikii maumivu yoyote baada ya kuchomwa sindano hivyo nawasihi wasichana wenzangu waje kupata chanjo ili kujikinga na saratani ya mlango wa kizazi kwani  pia ni bure”.

Saratani ya Mlango wa uzazi ni mabadiliko ya ukuaji wa seli za mlango wa kizazi,mabadiliko ya ukuaji wa seli hizi husababisha misuli au viungo vingine mwilini kuathirika.

Saratani hii inaweza kusambaa na kuweza kushambulia kibofu cha mkojo,uke na sehemu ya chini ya utumbo mkubwa na baadaye figo,ini na sehemu zingine.

Mwaka 2017-2018 jumla ya wanawake 2791 walifanyiwa uchunguzi wa Saratani ya mlango wa kizazi kati yao 63 waligundulika na dalili za awali za saratani,60 walipatiwa matibabu katika hospitali ya Wilaya  ya Mkuranga na 3 walipewa rufaa kwenda Hospitali ya Ocean Road kwa matibabu zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.