• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

WATAALAMU WA HALMASHAURI WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA STENDI

Posted on: May 28th, 2020


Wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani ikiongozwa na  Kaimu Afisa Mipango Zawadi Aristites  leo wamefanya ziara ya kukagua utekelezaji hatua za awali za ujenzi wa stendi ya mabusi ya kisasa iliyopo katika kata ya Mwandege Kijiji cha Kipala  Wilayani humo.

Akizungumza katika ziara hiyo mratibu wa mradi ambaye pia ni mtumishi wa Halmashauri ya wilaya Mkuranga kutoka idara ya mipango Ndg. Sospeter Missian alisema  mpaka kufikia sasa kamati iliamua kufanya utaratibu wa kumtafuta mzabuni kupitia kitengo cha manunuzi  ambapo ilipatikana kampuni ya “IBRA CONSTRUCTION LTD” ambao walisaini mkataba wa kufanya kazi ya kusafisha na kusawazisha   eneo kuanzia 2/4/2020 na mkataba huo unatekelezwa kwa siku (30) tangu tarehe ya makubaliano.

Katika uwasilishaji wa taarifa yake Ndg. Missian  alisema kwa kiasi kikubwa kazi iliyofanyika ni kuondoa vichaka vyote vilivyokuwepo katika eneo hilo lenye ukubwa mita za mraba laki moja tisini na tatu elfu na sitini na saba (193,067) kulingana na vipimo vya wataalamu wa ardhi ni sawa na hekari (50)  ila mpaka kufikia leo tarehe 29/5/2020 eneo lote limeonekana kuwa safi na taratibu za kusawazisha eneo bado zinaendelea ili kuipa sura ambayo walikubaliana katika mkataba wao wa kazi na mzabuni .

Sambamba na hilo Ndg. Missiani  hakusita kuainisha changamoto zinazoikabili kazi hiyo ni pamoja na kutoonekana kwa alama za mipaka,  kuharibika kwa baadhi ya vifaa vya buldoza ikiwemo kupasuka kwa “Hydrolic pipe” na  kukatika kwa “ bolt” za chini na ajali ya kujeruhiwa kwa mwananchi na mashine wakati wa kazi.

Akijibu changamoto za kutoonekana kwa mipaka Afisa Mpimaji wa Ardhi Moses Makongoro alisema “ mawe ya mipaka (beacon) yalishapandwa isipokua  zilikua zikingolewa lakini walikuja tena kuweka nondo kama alama lakini nazo ziling’olewa na buldoza wakati wa kusafisha eneo,   hata hivyo mawasiliano yalifanyika na Mkuu wa kitengo cha upimaji wa Ardhi  Wilaya ya Mkuranga Ndg. Issa Msenga na amesema mara baada ya kumaliza kusafishwa kwa eneo watarudishia alama kwa kuwa majira nukta (coordinate) ya eneo hilo wanazo.

Akihitimisha  taarifa yake Mratibu wa mradi alisema jumla ya kiasi cha shilingi milioni arobaini na tisa laki sita na sabini na tisa elfu (49,679,000) pamoja na VAT  zimetumika kama gharama za kusafisha eneo, ikiwemo ukodishwaji wa mashine, gharama za kuileta na kuirudisha mashine, gharama za gari ndogo iliyotumika kusindikiza mashine, mafuta za kuendeshea mashine hiyo pamoja na gharama za kumlipa aliyekua anaiendesha mashine.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.