• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Watendaji wa Kata kuweni mabalozi wa Elimu ya Lishe-DC Sanga

Posted on: November 16th, 2018

Mkuu wa wilaya ya Mkuranga Mhe. Filberto Sanga amewataka watendaji kata kuwa mabalozi wazuri wa elimu ya masuala ya lishe na kilimo cha viazi lishe

Sanga ameyasema hayo jana wakati akifungua mafunzo ya kilimo cha viazi Lishe wilayani hapo yaliyoandaliwa na Mradi wa ‘Sambaza Mbegu Fasta’ (Fast Track) kwenda kwa watendaji wa kata ikijumuisha madiwani, maafisa kilimo, maafisa lishe, maafisa maendeleo ya jamii pamoja na maafisa ugani

Alisema amefurahishwa na mafunzo hayo kwani yataleta tija kwa afya za wana mkuranga hususani kwa watoto ambao ndio wahanga wa ukosefu wa lishe bora, pia akagusia mipango sahihi ya kupata mtoto mwenye afya njema kuwa inaanza mapema kabla mama hajabeba ujauzito
“leo hii mmetuongezea kitu kwamba kama tunataka kufanya kazi ya uumbaji tuanze kujiandaa mwezi mmoja kabla kuhakikisha tunakuwa wazima, haya hayasemwi kwa lengo la kufurahisha ila kumsaidia Yule tuliye mkusudia kumleta duniani awe na afya njema na akili timamu “

Awali mafunzo hayo yalitanguliwa na mada kutoka kwa wataalam mbalimbali ambapo Dr.Kiddo Mtunda , Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Sambaza Mbegu Fasta kutoka kituo cha utafiti Kibaha alitoa mada juu ya Kilimo Biashara na kutoa taarifa ya mradi huku Bi. Mshugaley M. Ishika, Afisa kilimo mkuu TARI – Makao Makuu, alitoa maada juu ya chakula na lishe akisisitiza watu kula chakula chenye mchanganyiko wa makundi yote ya chakula yani protini,vitamin,wanga,mafuta na madini bila kusahau maji na fiber (nyuzinyuzi)
Aidha Bi. Vidah Mahava, alielimisha juu ya kilimo na jinsia alishauri kuwe na usawa wa kijinsia ili kumuinua mwanamke, hali ambayo inaweza kupunguza njaa katika jamii kwani wanawake wamekua wanatengwa zaidi katika shughuli zenye kipato kikubwa na kupelekea hali ngumu
Mafunzo hayo yalienda sambamba na zoezi la mafunzo kwa vitendo juu ya uzalishaji wa viazi na mbegu yaliyoratibiwa na mtafiti wa kilimo TARI – Kibaha Bi. Mary Yongolo
Kwa upande wao washiriki wa mafunzo hayo, waliipongeza serikali na taasisi hiyo kufanikisha mafunzo hayo kwani yamekua msaada mkubwa kwa kutoa elimu ya mambo ambayo walikua hawayajui ama kuwa na uelewa mdogo kwao na kuahidi kufikisha elimu hiyo kwa jamii pia “mwanzo tulikua tunajua viazi ni kwaajili ya kupika tu ila kupitia mafunzo haya nimetambua bidhaa kama keki , tambi na juice vinaweza kuzalishwa kupitia viazi lishe” alisema Bi. Salama Mhina Afisa Kilimo kata ya Beta


Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.