• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Watendaji waliohusika na ujenzi wa nyumba za watumishi kuchukuliwa hatua

Posted on: September 14th, 2017

Baraza la Madiwani Wilayani Mkuranga likiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mh.Juma Abeid jana limeazimia kuwachukulia hatua watendaji wote waliosimamia ujenzi wa nyumba za watumishi kuanzia hatua ya utafutaji wa eneo mpaka hatua ya ujenzi.

Azimio hilo lilitolewa  wakati wa mkutano wa  kawaida wa Baraza la madiwani lililofanyika hapo jana kwenye ukumbi wa kiguza flex ambapo ilionekana kuna changamoto juu ya uhamiaji kwenye nyumba za watumishi zilizopo eneo la Mkwalia Kitumbo kata ya Mkuranga zilizogharimu zaidi ya Milioni 300.

Akizungumza mbele ya Mkutano wa Baraza la Madiwani  Afisa Utumishi na Rasilimali watu Wilaya bwana Valentine Mbai alisema”Ni kweli ilitakiwa mpaka mwezi julai mwaka huu watumishi wote waliopangiwa kuishi kwenye nyumba hizo wawe tayari wamehamia lakini kutokana na eneo hilo kuwa oevu ni vigumu watumishi kuhamia kwani ifikapo kipindi cha masika nyumba zote hujaa maji na hivyo huweza kuhatarisha usalama wa Mkuu wa idara husika”


Bwana Mbai aliongeza kuwa palipo na nyumba hizo kuna maji mengi hata walipoweka nguzo za umeme zilianguka na hali hiyo ilisababisha hata transifoma kulipuka na kuharibika.


Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mh.Filberto Sanga alisema”Eneo limetafutwa, limejengwa hadi tunaazimia kuhamia leo hii mnakuja kusema si salama, inaumiza sana fedha ya Serikali inatumbukizwa kwenye ujenzi ambao hauna tija”

Mh Sanga aliendelea kusema kwamba hivi karibuni zimepelekwa fedha kwa ajili ya kuweka umeme ile hali eneo halifai kwa ajili ya makazi ya watu.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mh.Juma Abeid alisema nyumba za watumishi zina zaidi ya miaka saba yeye akiwa diwani kwa kipindi hicho alipinga eneo hilo kujengwa nyumba za watumishi lakini alipuuzwa na viongozi wa juu yake.


Baraza la madiwani limeazimia kwa  kuitaka Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) iwachunguze na kuwachukulia hatua watumishi wa Halmashauri hiyo, walioruhusu  kuidhinisha na kujengwa nyumba za wakuu wa idara katika eneo la mkondo wa maji ile hali haina sifa.


Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.