• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Watu sita wajeruhiwa na Wamang'ati

Posted on: August 24th, 2018

Watu sita wamejeruhiwa na wafugaji jamii ya wamang’ati kwa kupigwa na fimbo sehemu mbalimbali za miili yao ikiwemo kichwani baada ya wafugaji hao kuvamia kijiji cha Kondo Mwelanzi kilichopo katika kata ya Bupu Wilayani Mkuranga.

Akizungumza chanzo cha tukio hilo Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mh Filberto Sanga amesema sababu kubwa ni wafugaji ambao wametokea Wilaya ya Kisarawe kuingia katika kata hiyo kupitisha mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima, wakulima wakawaswaga ng’ombe hao na ndipo wafugaji takribani nane wakajiunga na kuwavamia wanakijiji hao na kuwapiga.

Sanga alisema  kuwa wananchi waliopigwa wawili walikuwa si wakazi wa kijiji hicho bali ni wakazi wa Dar es salaam waliokwenda kutembelea ndugu zao na wengine ni wakazi wa kijiji hicho huku mmoja  akiumizwa vibaya  kichwani na kukimbizwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

“Hatua ambazo tumechukua mpaka sasa mara baada ya  kupata taarifa tulituma askari wetu kwenda kufanya kazi lile eneo lakini kwa bahati mbaya  wale wafugaji walikuwa wameshakimbia msituni”Sanga alisema.

Sanga alisema katika kuhakikisha amani inakuwepo wametumia askari wetu kwenda eneo hilo kwa ajili ya uinzi na usalama ,naomba wananchi wawe watulivu na serikali inaangalia njia bora ya kutatua  tatizo hilo ili kuhakikisha  migogoro ya wakulima na wafugaji haitokei  tena.

Wakati huo huo Sanga alikwenda kijiji cha Kondo Mwelanzi kuwafariji wananchi na kuwapa pole na kuwasihi kutojibu mapigano kwa aina yoyote ya silaha kwani serikali ipo pamoja nao na endapo itatokea dalili yoyote mbaya ajulishwe haraka ili hatua za haraka zichukuliwe.

Sanga aliongeza kwamba wale wananchi wote wanaoshirikiana na hao wafugaji wasitishe ushirikiano huo kwa kua hawana lengo zuri lakini pia watafutwe na  endapo watabainika hatua kali za kisheria zichuliwe dhidi yao.

Kaimu Mganga Mfawidhi Wilaya ya Mkuranga Dkt. Ndaki Barnabas alisema mnamo Agosti 22 mwaka huu majira ya saa 4 usiku walipokea majeruhi watatu hali zao zikiwa mbaya  na mmoja amekimbizwa hospitali ya Muhimbili kwa matibabu zaidi na wengine wamepatiwa matibabu wanaendelea vizuri.

Diwani wa kata ya Bupu Mh Abasi Msangule alisema tukio hilo limezua sintofahamu kwa wananchi hivyo  kuomba serikali kulishughulikia  suala la wafugaji ili kuepusha madhara zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.