• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Watu wenye ulemavu waomba kuongezewa bajeti

Posted on: December 13th, 2018


Watu wenye ulemavu wilaya ya Mkuranga wameuomba uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga kuwaongezea bajeti ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili.

Shirikisho la watu wenye ulemavu  waliyasema hayo mwanzoni mwa wiki hii wakati walipokuwa wakizungumza na uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga.

Aidha wameiomba Halmashauri ya Wilaya ya  Mkuranga kuongeza  asilimia mbili zaidi kwenye bajeti kwenye sehemu ya  elimu  ili kutatua changamoto mbalimbali zinaowakabili ikiwemo miundombinu, waalimu wataalamu na vifaa vya kujifunzia.

Mwenyekiti wa SHIVYAWATA  Wilaya ya Mkuranga Hassan Kambangwa alisema hivi karibuni wamekuwa na vikao mbalimbali na kamati za shule lengo kubwa kuangalia changamoto za watoto wenye ulemavu na moja ya changamoto ni kwamba hakuna  ngazi mtalazo katika shule kwani majengo ni ya zamani na  vyoo kwa watoto wenye ulemavu hivyo wazazi kukata tamaa kuwapeleka shule kwakua itawasumbua namna ya kujisaidia.

Mwenyekiti huyo aliongeza kwamba  wamefanya utambuazi wa watoto wenye ulemavu ambao hawako shuleni na kupata idadi ya zaidi  ya  200 ambao hawapo mashuleni hivyo ndio maana wanamba waongezewe bajeti kwakua bajeti ya mwanzo ilikuwa imelenga watoto waliopo mashuleni tu lakini kwa sasa wamezidi hivyo inahitajika ongezeko la fedha ili kukidhi mahitaji ya watoto hao na  kuboresha miundombinu ya shule

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Bwana Peter Nambunga alisema kwamba ili kuweza kuongeza bajeti ni kupata takwimu halisi ya idadi ya watu wenye ulemavu na sehemu walipo.

Nambunga aliongeza kwamba kwa Mwaka wa fedha 2018/2019 Halmashari imetenga mil 60 kwa ajili ya mikopo ya watu wenye ulemavu ambapo kwa robo ya kwanza kiasi cha Tshs Mil 15 ipo mbioni kuingia kwenye akaunti za wahusika.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.