• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Watumishi wa Umma Watakiwa Kufuata Sheria,Kanuni na Taratibu za Kazi

Posted on: October 17th, 2018


Watumishi wa umma wametakiwa kuepuka migogoro katika utendaji wa kazi na badala yake kufuata sheria na kanuni za utumishi kwa kujadiliana na muajiri ili kusaidia kuendelea kutoa huduma mbalimbali kwa jamii
Hayo yalisemwa na mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa Tanzania mkoa wa Pwani -TALGWU-Ramadhani Kinyogoli katika mkutano na watumishi wa idara ya afya wilaya ya mkuranga ukiwa na lengo la kujadilia masuala mbalimbali ya watumishi

''Wajibu na haki ni muhimu kwa watumishi ili kuhakikisha huduma mbalimbali zinazotolea katika taasisi za serikali na kuepuka migongano inayoweza kuchangia kurudisha nyuma shughuli za maendeleo hivyo watumishi hatuna budi kuepuka migogoro na badala yake kukaa meza moja na mwajiri ili kujadiliana changamoto na kushauriana.alisema
Kinyogoli
Hata hivyo Kinyogoli alibainisha kuwa watumishi wengi wana changamoto za kiutumishi ikiwa in pamoja kutOkujua sheria za kazi,kanuni na wajbu hivyo uongozi wa TALGWU Mkoa utajipanga kuendelea kutoa elimu hiyo ktika wilaya zote ili kuwasaidia watumishi hao kutambua haki zao.

''Tumebaini mambo mengi kwa watumishi
pamoja na hivyo lazima elimu hii watumishibkujiunga na vyama vya wafanyakazi ili kupata elimu hiyo na kusaidiana pale wanapopata changamoto katika utumishi".alisema Kinyogoli

Angelina Malugu ambaye ni Afisa muuguzi msaidizi wa hosptali ya wilaya ya Mkuranga alisema kuwa wanashukuru TALGWU kufika katika idara hiyo na kuzungumza na watumishi huku akibainisha changamoto za kutolipwa haki zao kwa kufanya kazi zaidi ya Masaa ya kazi pamoja na kupeleka malalamiko hayo kwa uongozi wa hosptali hivyo kuomba kushugulikiwa changamoto hizo kwa watumishi.
''Watumishi tuna changamoto nyingi tunashukuru TALGWU kufika hapa tunaomba watumishi tutatuliwe changamoto zetu maana kuna baadhi ya watumishi wanadai fedha za Masaa ya ziada ya kazi,sare za watumishi wa afya ni muda mrefu fungu hilo halitolewi" alisema Angelina Malugu

Naye Regina Kombo ambaye ni muuguzi mkunga katika hosptali ya wilaya ya mkuranga alisema changamoto nyingine ni kwa badhi ya watumishi wapya hawajui sheria na miongozo ya kazi hivyo kutoa ushauri kwa uongozi wa –TALGWU-kuweka mikutano ya Mara kwa Mara kwa wajumbe ili kuwasaidia kutambua haki zao katika utumishi.

TALGWU Mkoa wa Pwani wataendelea na ziara ya kukutana na wanachama wake katika wilaya ya CHALINZE,RUFIJI, BAGAMOYO na mkuranga na wataaendelea kutembelea wilaya zingine za mkoa huo ikiwa na lengo la kuzungumza na watumishi katika masula mbalimbali juu ya sheria za kazi,haki na wajibu ili kusaidia kupunguza migogoro ya mara kwa mara katika maeneo ya kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.