• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

WAWEKEZAJI MKURANGA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA ZA KAZI...

Posted on: July 6th, 2021


Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye ulemavu Jenista Mhagama amewataka wawekezaji Nchini Kufuata kanuni taratibu na sheria wakati wanaendesha viwanda.

Akizungumza nao Viongozi na wafanyakazi wa kiwanda cha nondo Fujin kilichopo kisemvule wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani leo Julai 6,2021 kiongozi huyo aliwahakikishia wawekezaji kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hana nia ya kufunga viwanda vyenye kasoro bali anataka kazi iendelee wakati marekebisho yanaendelea kufanyika.

Waziri huyo amefurahishwa na baadhi ya marekebisho yaliyofanyika huku akimuagiza mwekezaji kutoa ushirikiano na taasisi husika kutatua changamoto ya mishahara,stahiki baada ya kuumia, na muda wa kazi.

Aidha kiongozi huyo aliahidi kuwaleta mfuko wa hifadhi ya jamii (NSSF) wakae Pamoja nao ili kuondoa sintofahamu kati ya mwajiri , wafanyakazi, na mfuko  huo kuhusu usalama wa malipo yao.

Akiwa kiwanda kingine kinacho zalisha nondo na Plastiki cha Lodhia  kilichopo kisemvule Waziri Mhagama alimpongeza Mkurugenzi wa kiwanda hicho ambaye ni Mtanzania Suleshi Pandit kwa uwekezaji wake mkubwa hapa nchini  huku akimwahidi Serikali ya awamu ya sita itakua Pamoja nao kutatua changamoto mbali mbali zinazowakabili.

Awali Mkurugenzi Pandit alisema wanatengeneza nondo za mm (40) ambazo zinatumika kwenye ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere na daraja la Tanzanite sambamba na kuuza Nchi mbali mbali za Afrika huku wakijiandaa kuchakata makaa ya mawe yanayopatikana Mchuchuma.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Hadija Nasri alipongeza ujio wa Waziri huyo huku akimwahidi kufatilia kwa karibu utekelezaji wa maagizo yake kwenye ziara hiyo.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • RO MKURANGA AWAFUNDA WAANDIKISHAJI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI

    May 14, 2025
  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.