• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • TASKSMIS |
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga
Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Rasimali watu na Utawala
      • Industrial, Trade and Investment
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Mipango,Sera na Takwimu
      • Ardhi na Maliasilli
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Mazingira na Usafi
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Uongozi
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Sera
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa kwa Umma
  • Kituo cha Habari
    • Photo Galley
    • Habari Mpya
    • Matukio

Waziri Mpina awapa onyo Wakulima na Wafugaji

Posted on: January 16th, 2020

Wakulima na Wafugaji Wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani wametakiwa kutokubali kuingizwa katika Migogoro ya aina yoyote ile na hasa ile inayowahusu wao moja kwa moja, eidha iwe ya kisiasa au kimaslahi ya mtu au Kiongozi yoyote kwa kisingizio cha shughuli zao za kilimo na ufugaji, sambamba na kuwekwa miundo mbinu rafiki katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya wafugaji.

Hayo yamesemwa jana na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina akiwa katika Mkutano maalumu uliohudhuriwa na Wakulima na Wafugaji katika kiwanja cha Ofisi ya Kijiji Kimanzichana Kusini, na kuwasisitiza wakiruhusu nafasi hiyo basi wasitarajie kupata maendeleo na hawatabaki salama.

Mpina akifafanua zaidi amesema kila mwananchi ana haki ya kuishi popote na kufanya shughuli zake bila kubughuziwa na mtu yoyote isipokuwa anatakiwa kufuata taratibu tuu, na kuwataka viongozi pamoja na wataalamu kutumia sheria ya fidia kumaliza migogoro hiyo ambapo Mkulima atawajibika kulipa gharama endapo atafanya uharifu kwa wanyama na wafugaji kulipa fidia kwa wakulima watakapofanya uharibifu katika mazao ya wakulima.

Amesema Mfugaji akilisha ng’ombe wake katika shamba la Mkulima basi alipe madhara hayo kama kwamba Mkulima amefikia kuvuna na Mkulima akimkata Ng’ombe wa Mfugaji basi nae alipe Ng’ombe mzima sambamba na kuwataka Viongozi wa Vijiji kutenga njia za kupitisha Mifugo wakati wa kwenda kulisha na zile zitakazotumika wakati wa kupeleka Mifugo mnadani ili kuondoa kero za mifugo kuharibu mazao ya Wakulima.

Waziri Mpina ametoa ahadi ya kutoa vifaranga 130,000 bure kwa wafugaji wa samaki baridi sambamba na kuhimilisha Ng’ombe 1000 bure, hii ikiwa ni jitihada za pamoja akishirikiana na Naibu Waziri wake Abdallah Ulega wakiwa na azma ya kuhakikisha wanafikia malengo ya Rais Dr. John Pombe Magufuli ya kuona kila mwananchi anapata fursa ya kujiongezea kipato.

Akiwasilisha taarifa fupi kwa Waziri Mpina, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Mhandisi Mshamu Munde amesema Msitu wa Misangani ni changamoto kubwa kwa Wakulima na Wafugaji na hasa wafugaji ambao wanahama kutoka katika Wilaya nyingine kama Kisarawe na Kibiti.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Filberto Sanga amesema suala la wakulima na wafugaji ni changamoto kubwa na hasa wale wafugaji ambao wanahama hama na kumuhakikishia Waziri kuwa wamekuwa wakitumia vikao na Mikutano mbalimbali katika kutatua migogoro hiyo.

Tarehe 21 mwezi huu waziri Mpina atatuma timu nyingine kwa ajili ya kuja kuona ni namna gani Migogoro hii inatokea ili kutafuta njia sahihi ya kumaliza Migogoro hii ndani ya Wilaya ya Mkuranga.

Matangazo

  • TANGAZO LA VITUO VYA USAILI January 21, 2025
  • ORODHA YA MAJINA YA WAANDISHI NA WAENDESHA VIFAA January 21, 2025
  • Tazama vyote

Habari Mpya

  • MADIWANI MKURANGA WAPITISHA TAARIFA YA MAENDELEO ROBO YA TATU

    April 29, 2025
  • KIJANA WA MLENGWA WA TASAF ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

    March 03, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MKURANGA IMEFANYA UZINDUZI WA MIRADI YA (TI)

    March 01, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA

    February 10, 2025
  • Tazama vyote

Video

SIMAMIENI MAADILI
Video Zaidi

Viunganishi vya haraka

  • Fomu ya Ruhusa ya Ugonjwa kwa Watumishi (Sick Sheet Form)
  • FFARS user manual
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • uchaguzi wa wanafunzi kujiunga kidato cha kwanza 2020/2021 Mkuranga
  • Barua pepe za ofisi za watumishi
  • Fomu ya Likizo kwa Watumishi
  • Fomu ya Ruhusa kwa Watumishi
  • Fomu ya Maombi ya Leseni ya Biashara

Tovuti Linganifu

  • TAMISEMI
  • e-GA
  • OR - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora
  • Ajira
  • Ikulu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Baraza la Mitihani la Tanzania
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani
  • Mkuranga Tasks Management Information System (Tasks MIS)

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Visitors Counter

Free Visitor&Stat Counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga

    Postal Address: P. O. Box 10, Mkuranga, Pwani, Tanzania

    Telephone: +255232110038

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded@mkurangadc.go.tz; ded.mkuranga@pwani.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Copyright ©2023 MkurangaDc. All rights reserved.